Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali
Ndio Dunia.
Huyu dada alifiwa na dada yake ambaye alikuwa na mtoto 1(7 yrs) tu na mume wake aliishafariki.
Ikabidi huyu dada amchukue huyo mtoto akae nae na akamuweka chumba kimoja na watoto...
Habari ya leo ndugu wana jf,
Mimi ndugu zangu napenda kusikia na kusoma maoni yenu kuhusu hili jambo ninalotaka kulizungumzia... Lahusu maeneo yanayopaswa kujengwa mabaa, misikiti na makanisa...
"I paid the accused an estimated R1-million, made up of rands and US dollars."
This was the response of drug dealer Glenn Agliotti to state prosecutor Gerrie Nel's question as to how much money...
Rais, Jakaya Kikwete.
Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kahama, mkoani Shinyanga, kimetangaza rasmi uamuzi wake wa kumsaidia kwa hali na mali Rais Jakaya...
THIS is cons' compensation king Tony Kelly who has made a fortune in Legal Aid helping killers and crooks win human rights cases.
The lawyer sparked outrage after murderers Andrew Somerville and...
31-year international hunt for the film director Roman Polanski including failed attempts to arrest him in the UK, Canada, Thailand, and Israel, before he was eventually seized in Switzerland over...
Wakuru, naomba tuulizane kiundani, benki nyingi zinazuia mtu kuingia na bunduki na siraha zingine ndani. navyojua mm mtu huamua kununua siraha (na kumiliki kihalali) pindi anapoona kwamba kuna...
By Madinah Tebajjukira
Newvision
A NEW Bill on marriage and divorce wants to ban widow inheritance, a common practice in Uganda where a widow is inherited by a husbands relative, mostly a...
Wakuu nawasabahi!!
naomba kupewa ufahamu wa haya mambo ambayo mara nyingi tumekuwa tukinyanyaswa na Trafic Police bila hata kujua sheria zao.
Hivi unapokuwa charged na trafic case na ukatozwa...
WATU wawili wanashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kutapeli shamba huko Kiluvya mkoani pwani.
</SPAN>Watu hao wakiwa na lengo la utapeli waliuza shamba la hekati tatu isivyo halali na...
Shut Yer Mouth: Man Gets 6 Months for Yawning
Strict judge issues 6 months jail time for "loud and boisterous" yawn
Make sure you get plenty of sleep before going to court.
Clifton Williams...
Katiba ya nchi navyoelewa kuwa Rais na Makamu wake wakiwa hawapo nchini(wamesafiri) nje ya nchi Spika ndio hukaimu nafasi ya urais hadi
mmojawapo anaporudi,
Mida hii JK yupo Libya kwenye...
Kama kuna member mwenye nakala (soft copy) ya mswada wa vinasaba vya binaadamu (The Human DNA Bill, 2009), tafadhali naomba auweke hapa jamvini. Nina hamu ya kuusoma.
Natanguliza shukrani.
SMU
Kufuatia hukumu ya Jaji Masati ambaye amewaachia watuhumiwa wote kwamba hawana hatia ya mauaji, na kwamba hakuna mtu ambaye ameithibitishia mahakama bila kuacha chembe ya shaka kwamba watuhumiwa...
Mara nyingi nimekuwa nikisoma habari kwamba mtuhumiwa amefikishwa mahakamani na kusomewa mashtaka mazito kama ya mauwaji lakini mtuhumiwa hakutakiwa kujibu lolote kwa kuwa mahakama hiyo haina...
LEO YAMETIMIA MANENO YA ZOMBE KWAMBA UKWELI UTAJILI KORTINI. JAJI MASATI AMEITIMISHA HILI KWA KUMWEKA ZOMBE NA KUNDI LAKE HURU. SWALI KWAKO WEWE MWANAJAMII, JE KUACHIWA KWA ZOMBE NA WENZAKE...
Watanzania wenzangu hebu tujadili hili, sheria za tanzania ikiwemo katiba ambayo ndiyo sheria mama zinasema kwamba An accused person is presummed innocent untill contrary is proved, swali langu...
By Milton Olupot
and Hillary Nsambu
A womens rights organisation has asked the Constitutional Court to abolish bride price, calling it unconstitutional and a recipe for domestic violence...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.