Ndio Dunia.
Huyu dada alifiwa na dada yake ambaye alikuwa na mtoto 1(7 yrs) tu na mume wake aliishafariki.
Ikabidi huyu dada amchukue huyo mtoto akae nae na akamuweka chumba kimoja na watoto wake wa kiume(12 and 15 yrs).
Hawa watoto baada ya muda wakamvamia huyu mtoto kwa vitisho kuwa sasa huna baba na mama yako tumeisha mzika na kuanzia leo lazima tukufanye nyuma(tigo) na ukisema tutakuzika kama mama yak.
Mttot kwa kuogopa akawa akiwapa kila siku wakitaka usiku.
Siku 1 mama akagndua lakini bada ya kumuuliza mtoto kwanini uko down mtoto akakataa,basi mama akajua labda ni kwa sababu ya kufiwa na wazazi.
Wale watoto baada ya kusimuliana shuleni,akatokea mtoto ambaye amekubuhu(15Yrs) akawauliza anatembeaje-wakasema anatembea vizuri,huyo mtoto akasema basi mleteni kwangu nimuonyeshe kazi.
Wakamdanganya na kumpeleka,siku hiyo akarudi nyumbani damu zinamtoka na amezibwa na mapamba na vitambaa.
Mama kumuona vile ndio baada ya maswali mengi kila kitu kikajulikana.
Mama akaenda polisi akidai kuwa watoto wake lazima wawekwe jela kwa sababu hawafai kuishi kwenye society,baba akadai kuwa haiwezekani kwa sababu wakipelekwa Keko nao watafanyiwa vibaya zaidi.
Hayo yote 9,ninalouliza je kesi kama hii inahitaji ushahidi gani zaidi?Na watoto kama hawa wanafungwa wapi jela za watoto au za wakubwa?
Huyu dada alifiwa na dada yake ambaye alikuwa na mtoto 1(7 yrs) tu na mume wake aliishafariki.
Ikabidi huyu dada amchukue huyo mtoto akae nae na akamuweka chumba kimoja na watoto wake wa kiume(12 and 15 yrs).
Hawa watoto baada ya muda wakamvamia huyu mtoto kwa vitisho kuwa sasa huna baba na mama yako tumeisha mzika na kuanzia leo lazima tukufanye nyuma(tigo) na ukisema tutakuzika kama mama yak.
Mttot kwa kuogopa akawa akiwapa kila siku wakitaka usiku.
Siku 1 mama akagndua lakini bada ya kumuuliza mtoto kwanini uko down mtoto akakataa,basi mama akajua labda ni kwa sababu ya kufiwa na wazazi.
Wale watoto baada ya kusimuliana shuleni,akatokea mtoto ambaye amekubuhu(15Yrs) akawauliza anatembeaje-wakasema anatembea vizuri,huyo mtoto akasema basi mleteni kwangu nimuonyeshe kazi.
Wakamdanganya na kumpeleka,siku hiyo akarudi nyumbani damu zinamtoka na amezibwa na mapamba na vitambaa.
Mama kumuona vile ndio baada ya maswali mengi kila kitu kikajulikana.
Mama akaenda polisi akidai kuwa watoto wake lazima wawekwe jela kwa sababu hawafai kuishi kwenye society,baba akadai kuwa haiwezekani kwa sababu wakipelekwa Keko nao watafanyiwa vibaya zaidi.
Hayo yote 9,ninalouliza je kesi kama hii inahitaji ushahidi gani zaidi?Na watoto kama hawa wanafungwa wapi jela za watoto au za wakubwa?