Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Mim ni mteja wa crdb bank nna visa card ya bank tajwa hapo juu. Nliibiwa tembo card yangu na mwizi akafanikiwa kuniibia kiasi cha 3.7m kwa mda wa siku tatu. Siku ya kwanza alitoa one M. Siku ya...
2 Reactions
33 Replies
6K Views
Habari wakuu, Samahani naomba msaada kwa yoyote ambaye ana connection na watu wa idara ya uhasibu mahakama ya mirathi temeke aweze kunisaidia mawasiliano. Mama yetu mzazi alifariki mwaka Jana...
0 Reactions
2 Replies
162 Views
Wengi hatufahamu sheria inayotumika katika kuilinda bendera ya taifa na kuiheshimu. Wakati wa ushushwaji wa bendera watu hutakiwa kusimama lakini pia wengi hawafahamu kuhusu hilo wala sababu ya...
2 Reactions
83 Replies
20K Views
  • Redirect
MGAWANYO WA MALI ZA FAMILIA BAADA YA MUME NA MKE KUACHANA. SEHEMU YA 3 Mgawanyo wa mali kwa wanandoa sio lazima uwe 50%/50%. Kila mtu anastahili kupata kile kilicho haki yake kupata. Mwanandoa...
0 Reactions
Replies
Views
Jaji Wa Mahakama Kuu anashangaa aina ya Hukumu iliyoandikwa na Mhe. Odira ambyo ilikuwa haina Hata Legal Citation Wala Case Authority Kujenga hoja yake. . Jaji anasema Hukumu yoyote Ambayo Haina...
6 Reactions
10 Replies
2K Views
Habar za usiku huu wana nzengo, mimi ni mmiliki wa carwash somewhere Kwa bahati mbaya au nzuri pale nilipoweka carwash yangu kuna shughuli kadha wa kadha za kijamii, Kwa kipindi ambacho...
1 Reactions
5 Replies
341 Views
Habari zenu ndugu humu ndani.Naomba ushauri. Nina kesi tangu August 2023 hapa arusha. Sasa kesi haikuwahi kufikishwa mahakamani ipo polisi mpaka leo. Jumatatu niliitwa na askari anayehusika na...
1 Reactions
9 Replies
372 Views
Kwa wananchi wa Tanzania, serikali, na wadau wote: Ni kwa wasiwasi mkubwa naandika juu ya kukithiri kwa rushwa na matumizi mabaya ya madaraka ndani ya jeshi la polisi nchini Tanzania. Ingawa kwa...
0 Reactions
0 Replies
202 Views
Salam ndugu zangu, Ni mwaka wa pili Sasa toka niuziwe KIWANJA mbele ya serikali ya mtaa/ Kijiji Naomba msaada au ushauri wa namna ya kupata Saini ya mahaka au HATI MILIKI . Natanguliza shukrani zangu
2 Reactions
8 Replies
432 Views
Watu wa jukwaa hili habari zenu., Nimepitia comments zenu nyinginyingi nashkuru sana..! mjadala huu naomba ufungwe mod.,
11 Reactions
94 Replies
2K Views
Wabobezi naomba msaada. Nina Shamba ambalo namiliki kihalali. Lakini ninashindwa kuliendeleza kwa kuwa Kila siku wafugaji wanachungia ng'ombe humo. Hili limekuwa ni tatizo kubwa sana sana kwani...
1 Reactions
20 Replies
622 Views
1. Askari akikuweka chini ya ulinzi muulize kitambulisho ni haki yako. 2. Askari akikukamata akuoneshe kitambulisho chenye muhuri wa mahakama kama anasema ametumwa na mahakama kukumata, ni haki...
4 Reactions
16 Replies
3K Views
Wosia ni maandishi au maneno anayo ya tamka mtu akielezea taratibu za mazishi yake,warithi, wake baada ya kifo chake WOSIA KATIKA SHERIA YA KIMILA Wosia wa maneno ya mdomo lazima wawepo mashahidi...
3 Reactions
12 Replies
3K Views
habari waungwana? mwezi wa 12/2023 mama ang alisafiri Musoma kwenda Chato Geita, alipofika mwanza stand akagundua kua tayari kapoteza pochi yake ambayo ndani ilikuwa na kadi ya mpiga kura, nida ...
1 Reactions
2 Replies
174 Views
Wakuu habari zenu! Hope mu wazima wa afya. Nimekuja hapa kuomba ushauri. Kiufupi nimechaguliwa kwenda law school intake ya January mwaka huu ila bado Kuna kitu kinaniwazisha. Kuna kazi fulani...
4 Reactions
30 Replies
881 Views
DHANA YA NDOA (PRESUMPTION OF MARRIAGE) Ndugu msomaji, unaweza kuwa na maswali mengi juu ya wapenzi (mwanamke na mwanaume) wanaoishi pamoja kwa kipindi fulani au hata muda mrefu zaidi pasipo kuwa...
9 Reactions
45 Replies
16K Views
Je naweza kufungua citation kuwalazimisha warithi wafungue mirathi kwa vile nina maslahi na mali alizoacha baba yao?
1 Reactions
13 Replies
348 Views
Wadau natumai ni wazima wa afya njema,naomba kufahamu stahiki anazotakiwa kulipwa mtu aliyefanyiwa" retrenchment" na bado ana mkataba. ====== Wadau natumai ni wazima wa afya njema,naomba...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Wadau wa sheria, je sheria inasemaje kama mwajiri ameamua kuuza taasis yake kwa mtu mwingine na makubaliano yao ni kuwalipa mafao yao waajiriwa kabla ya kuuza!sheria inasemaje kwa watu ambao bado...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
ORDERS THE LOCAL CUSTOMARY LAW (DECLARATION) ORDER (1963) (Section 12) [1st August, 1963] G.N. No. 279 of 1963 FIRST SCHEDULE DECLARATION OF LOCAL CUSTOMARY LAW SHERIA ZINAZOHUSU HALI YA...
0 Reactions
1 Replies
289 Views
Back
Top Bottom