Habari zenu ndugu humu ndani.Naomba ushauri.
Nina kesi tangu August 2023 hapa arusha.
Sasa kesi haikuwahi kufikishwa mahakamani ipo polisi mpaka leo.
Jumatatu niliitwa na askari anayehusika na kesi akaniambia natakiwa kwenda kuhojiwa na mawakili.
Leo mchana ndo natakiwa kwenda huko kuhojiwa.
Naombeni msaada wa mawazo maana mimi najua kesi ikitoka polisi ni mahakamani sasa iweje nikahojiwe na mawakili.
Natanguliza shukrani
Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
Nina kesi tangu August 2023 hapa arusha.
Sasa kesi haikuwahi kufikishwa mahakamani ipo polisi mpaka leo.
Jumatatu niliitwa na askari anayehusika na kesi akaniambia natakiwa kwenda kuhojiwa na mawakili.
Leo mchana ndo natakiwa kwenda huko kuhojiwa.
Naombeni msaada wa mawazo maana mimi najua kesi ikitoka polisi ni mahakamani sasa iweje nikahojiwe na mawakili.
Natanguliza shukrani
Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app