donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,047
- 21,523
Habari wakuu,
Samahani naomba msaada kwa yoyote ambaye ana connection na watu wa idara ya uhasibu mahakama ya mirathi temeke aweze kunisaidia mawasiliano.
Mama yetu mzazi alifariki mwaka Jana mwezi July akatuacha na baba yetu mzazi na sisi watoto wawili. Baba aliteuliwa kua msimamizi wa mirathi na alifuatilia taratibu zote mpaka mahakama ikatoa go ahead ya mali zigawanywe which in our case kilikua ni kiasi fulani cha fedha ambacho marehemu mama alikiweka kwenye fixed account.
Sasa changamoto iko kwa hao jamaa wa uhasibu aisee, yaan kila ukifuatilia tunaambiwa iko kwenye process na siku zinaenda tu mpaka imekua kero. Naomba msaada wakuu.
Asanteni
Samahani naomba msaada kwa yoyote ambaye ana connection na watu wa idara ya uhasibu mahakama ya mirathi temeke aweze kunisaidia mawasiliano.
Mama yetu mzazi alifariki mwaka Jana mwezi July akatuacha na baba yetu mzazi na sisi watoto wawili. Baba aliteuliwa kua msimamizi wa mirathi na alifuatilia taratibu zote mpaka mahakama ikatoa go ahead ya mali zigawanywe which in our case kilikua ni kiasi fulani cha fedha ambacho marehemu mama alikiweka kwenye fixed account.
Sasa changamoto iko kwa hao jamaa wa uhasibu aisee, yaan kila ukifuatilia tunaambiwa iko kwenye process na siku zinaenda tu mpaka imekua kero. Naomba msaada wakuu.
Asanteni