Msaada wa haraka

ContentCreator

Senior Member
Sep 2, 2020
145
216
Wakuu habari zenu! Hope mu wazima wa afya. Nimekuja hapa kuomba ushauri. Kiufupi nimechaguliwa kwenda law school intake ya January mwaka huu ila bado Kuna kitu kinaniwazisha.

Kuna kazi fulani nafanya nalipwa zaidi ya Milioni 1 kwa mwezi je niachane nayo niende law school au niendelee na hiyo kazi. Na isitoshe hiyo kazi inategemea mda mwingi niwe na computer na simu mda mwingi.

Naombeni ushauri wenu wa mawazo. Ahsanteni
 
Wakuu habari zenu! Hope mu wazima wa afya. Nimekuja hapa kuomba ushauri. Kiufupi nimechaguliwa kwenda law school intake ya January mwaka huu ila bado Kuna kitu kinaniwazisha.

Kuna kazi fulani nafanya nalipwa zaidi ya Milioni 1 kwa mwezi je niachane nayo niende law school au niendelee na hiyo kazi. Na isitoshe hiyo kazi inategemea mda mwingi niwe na computer na simu mda mwingi.

Naombeni ushauri wenu wa mawazo. Ahsanteni
emoji120.png

Wakuu habari zenu! Hope mu wazima wa afya. Nimekuja hapa kuomba ushauri. Kiufupi nimechaguliwa kwenda law school intake ya January mwaka huu ila bado Kuna kitu kinaniwazisha.

Kuna kazi fulani nafanya nalipwa zaidi ya Milioni 1 kwa mwezi je niachane nayo niende law school au niendelee na hiyo kazi. Na isitoshe hiyo kazi inategemea mda mwingi niwe na computer na simu mda mwingi.

Naombeni ushauri wenu wa mawazo. Ahsanteni
Duhh. Kazi kweli
 
Wakuu habari zenu! Hope mu wazima wa afya. Nimekuja hapa kuomba ushauri. Kiufupi nimechaguliwa kwenda law school intake ya January mwaka huu ila bado Kuna kitu kinaniwazisha.

Kuna kazi fulani nafanya nalipwa zaidi ya Milioni 1 kwa mwezi je niachane nayo niende law school au niendelee na hiyo kazi. Na isitoshe hiyo kazi inategemea mda mwingi niwe na computer na simu mda mwingi.

Naombeni ushauri wenu wa mawazo. Ahsanteni
Tengeneza maokoto kwanza elimu haina mwisho

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umetupa ugumu kukushauri. Maana umelinganisha vitu vi2 ambavyo ni tofauti. Ulipomba kwenda law school lengo ilikuwa nini. Labda tuanzie hapo
Lengo niongeze vyanzo vya mapato. Lakini kazi zangu zinazoniingizia Milioni 1 kwa mwaka nafanyia kwenye computer na simu sasa hapa nawaza nitabalance vipi kazi hiyo na law school make hiyo kazi ndo inayoniingizia hiyo hela.
 
Endelea na iyo kazi kijana .huu ni ushauri wangu wa dhati kabsa .law school ina wivu sana uki changanya na yako uta liwa kichwa mapema sanaaa .. mda wao kua free ni kuanzia saa 16:30 jioni. Kazi kwako
 
Law degree bila Law School ni useless.

Pale ni lazima uende , hata ukiahirisha sasa lazima utakuja kwenda tu.
 
Ungeomba ushauri kabla ya kutuma maombi law school. Law school huwa haichagui mtu ambaye hajatuma maombi,haikurupuki kuchukua majina ya law graduates vyuoni na kuwachagua . Kwa vile ulituma maombi mwenyewe utakua na jibu sahihi
 
Wakuu habari zenu! Hope mu wazima wa afya. Nimekuja hapa kuomba ushauri. Kiufupi nimechaguliwa kwenda law school intake ya January mwaka huu ila bado Kuna kitu kinaniwazisha.

Kuna kazi fulani nafanya nalipwa zaidi ya Milioni 1 kwa mwezi je niachane nayo niende law school au niendelee na hiyo kazi. Na isitoshe hiyo kazi inategemea mda mwingi niwe na computer na simu mda mwingi.

Naombeni ushauri wenu wa mawazo. Ahsanteni
Muhimu Jenga uchumi. Law school ni fifty fifty kuchomoka au kufeli. Nauzuri ipogo tuu Kila mwaka.

huwezi kuwa na muda wakufanya issue zako vilivyo. Coz ratiba ya pale ni tight morning to evening unasaini by finger print unapoingia na unapotoka. So kwangu Mimi muhimu kujenga uchumi kwanza.

MWISHO: TUSHARE HIO ISSUE YAKUFANYA KAZI ONLINE MKUU IF POSSIBLE
 
Wakuu habari zenu! Hope mu wazima wa afya. Nimekuja hapa kuomba ushauri. Kiufupi nimechaguliwa kwenda law school intake ya January mwaka huu ila bado Kuna kitu kinaniwazisha.

Kuna kazi fulani nafanya nalipwa zaidi ya Milioni 1 kwa mwezi je niachane nayo niende law school au niendelee na hiyo kazi. Na isitoshe hiyo kazi inategemea mda mwingi niwe na computer na simu mda mwingi.

Naombeni ushauri wenu wa mawazo. Ahsanteni
Kama kwel umeshindwa decide katya hayo mawil hiv kwel ndugu hata hyo degree ya law uliipataje?
 
Wakuu habari zenu! Hope mu wazima wa afya. Nimekuja hapa kuomba ushauri. Kiufupi nimechaguliwa kwenda law school intake ya January mwaka huu ila bado Kuna kitu kinaniwazisha.

Kuna kazi fulani nafanya nalipwa zaidi ya Milioni 1 kwa mwezi je niachane nayo niende law school au niendelee na hiyo kazi. Na isitoshe hiyo kazi inategemea mda mwingi niwe na computer na simu mda mwingi.

Naombeni ushauri wenu wa mawazo. Ahsanteni
Bila shaka unafanya kazi za online. Tafuta mtu umfunze awe anafanya we unafanya kumlipa mshahara wakati ukiendelea na masomo. Note, usimwambie unapata kiasi gani ataingia tamaa
 
Back
Top Bottom