Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

On JF:

Imekuwa ni ndoto yangu ya muda mrefu ku-adopt mtoto yatima awe wangu kabisa nimlee, kumsomesha na kumfanyia yote anayostahili kufanyiwa mtoto! Sasa naona nina uwezo na muda wa kuitimiza ndoto...
2 Reactions
92 Replies
34K Views
Habari zenu wanasheria, naomba msaada namna ya kusajili ministry, ya maombi na ushauri, tafadhari naomba msaada wataalam wa sheria nafahamu kwamba mnayajua haya sana. Ni hatua gani zinatakiwa na...
0 Reactions
4 Replies
7K Views
Wanasheria, nawezaje kuendesha mgomo kazini bila kupoteza kazi yangu. Nahitaji muongozo wa kisheria.
0 Reactions
0 Replies
171 Views
Introduction In the global race for Foreign Direct Investment (FDI), the United Republic of Tanzania has deliberately positioned itself as an attractive and predictable investment destination...
2 Reactions
2 Replies
396 Views
Wanabisha nini, kwamba Lissu hakusema kama ataasi? Kwamba Lissu hakusema atavunja Katiba na sheria kwa kuzuia uchaguzi wa kikatiba usifanyike nchi nzima ili nchi ibaki bila ya Rais? Kile...
2 Reactions
8 Replies
532 Views
Habari Iko hivi kuna jamaa yangu amekutwa na kosa la jinai katika moja ya mahakama zetu hapa nchini na amehukumiwa kulipa fine tu kwa kosa alilotenda. Lakini jamaa huyu ni katibu wa tasisi...
1 Reactions
5 Replies
909 Views
Habari ndugu zangu. Kuna ndugu yangu ana nyumba huko Mbezi Msakuzi. Leo wameitwa na mwenyekiti wa mtaa na kuelezwa kuna mtu amekwenda ofisini kwake akamueleza anaomba ampatie barua ya kufufua...
5 Reactions
25 Replies
568 Views
Habari zenu manguli wa sheria? Naomba msaada mama yangu mzazi miaka 10 iliyopita alianzisha kesi kati yake na Taasisi moja kubwa sana ya kidini nchini! Taasisi hiyo iliuziwa kiwanja kikubwa sana...
5 Reactions
20 Replies
2K Views
Kuna mwanamke nimeishi nae kwa muda wa miezi 6, mambo yakaharibika baada ya kumkuta na mwanaume chumbani kwake, kukatokea ugomvi wa hapa na pale. Sasa huyu mwanamke ananishitaki mahakamani kwa...
2 Reactions
39 Replies
24K Views
Habari za wakati huu wanajamvi! . Naomba msaada wa kisheria au kimawazo . Mm hapa nilikuwa nimepangisha chumba lakn kwa bahati mbaya tulivunja mkataba na mwenye nyumba kabla ya kumaliza kodi...
2 Reactions
9 Replies
617 Views
Kuna fundi amekuwa akifanya kazi za kupaua nyumba zangu kwa miaka mingi, alikuwa mwaminifu tu sana. Lakini mwezi Disemba 2025 alipiga makenji nyumba yangu, akapima na kunidanganya kwamba...
6 Reactions
38 Replies
805 Views
- Amtetea Profesa Mahalu Ashangaa mashitaka yake Amtaja kuwa mwadilifu Rais Mstaafu Benjamin Mkapa akisindikizwa kuelekea chumba cha mahakama kutoa ushahidi katika kesi ya matumizi mabaya ya...
2 Reactions
8 Replies
5K Views
Aina za Sheria na Kazi Zake 1. Sheria ya Jinai (Criminal Law) Inahusika na makosa ya uhalifu. Kuwashtaki na kuwatetea wahalifu. Uhalifu wa mtandaoni na makosa ya kifedha. Uchunguzi wa ufisadi na...
1 Reactions
1 Replies
318 Views
Kifungu cha 308 (Additional Witnesses for Prosecution Act) cha CPA (Criminal Procedure Act), kama kinavyosomeka hapo chini kinahusu Shahidi Mpya (Additional Witness) na sio Ushahidi Mpya...
10 Reactions
10 Replies
590 Views
Je, Mwajiri anaweza kuomba Mapitio (review) ya uamuzi wa Mh. Rais kwa Mh. Rais huyo huyo kwa kutaka kuongeza vielelezo ambavyo hakuviwasilisha kabla ya uamuzi, ambapo iliamriwa na Mh. Rais kwamba...
0 Reactions
3 Replies
592 Views
Kwanini nauliza hivyo: Ushahidi wao unafanana, kama kuna kitu wanataka kustablish nadhani kwa mashahidi hao inatosha maana wanafanana " pleadings" zao. Why call many of the same kind? Pili...
4 Reactions
9 Replies
406 Views
Kuna kitu hapa sijaelewa. Yaani Polisi wanawakamata hawa watu wanaoitwa P1-P10 sijui kwa kosa ambalo halina sheria, kisha wanawapeleka polisi, wanawatishia na kesi ya kuzuia uchaguzi, hawapelekwi...
5 Reactions
8 Replies
462 Views
Kuna hii tabia inazidi kutrendi, mtu ana familia yake yenye mke na watoto lakini anasajili mali kwa majina ya wazazi na ndugu zake. Ni sawa?
5 Reactions
15 Replies
466 Views
Habari zilizotufikia punde ni kwamba yule polisi aliyemlipua kwa bomu Daudi Mwangosi,amefukuzwa kazi.IGP Said Mwema ameingia leo mkoani Iringa kwa Helcopta.Kuna kikao cha siri kati yake na RPC...
1 Reactions
93 Replies
9K Views
Back
Top Bottom