Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Tazama video hiyo kisha toa maoni.
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Napenda sana hii kitu nikila najiuliza hivi wanatengenezaje?
0 Reactions
0 Replies
5K Views
kama huja jaribu jaribu leo na huu ndi msimu wenyewe!
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Soseji ni kitafunwa kinachopendwa sana,na hutumika sana kama sehem ya kifungua kinywa.Ni namna nyingine ya kuhakikisha unapata protini kwenye kifungua kinywa. Hata ivyo soseji huweza kutumika...
1 Reactions
7 Replies
14K Views
hii ni namna ya kutengeneza CURRY nyumbani kwako. KARIBU Korma paste 2 cloves of garlic / a thumb-sized piece of fresh root ginger / ½ teaspoon cayenne pepper / 1 teaspoon garam masala / ½...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Pishi la Pweza Vipimo Pweza 1 Kilo Mafuta ½ kikombe Chumvi...
2 Reactions
4 Replies
4K Views
Wapendwa za J1.. Kuna recipe hii ningependa kushare nanyi.. Unga mug 1 na robo Mtindi plain mug moja Sukari vijiko 7 Mayai 2 Samli aseel vijiko 4(unaweza tumia mafuta 1/2 mug) Vanilla 1-2 tbs...
5 Reactions
43 Replies
6K Views
Kuku 1 Tangawizi Kitunguu thomu 1 teaspoon Orange juice 2 glasses waweza kamua fresh orange au orange juice ambayo 100% alafu no sugar added Chumvi kiasi Chungwa moja kwa ajili...
9 Reactions
30 Replies
3K Views
Type 1 Mahitaji Majani ya salad Samaki asie na miba wa kuchemsha bila ya viungo weka chumvi (unaweza tumia samaki wa kikopo) Nyanya 1 kubwa Kitunguu maji kidogo sana 1 Pilipili...
9 Reactions
43 Replies
4K Views
Wana jiko!! Ni mda sasa nimekua nikienjoy mapishi ya chef wetu farkhina. Naomba nami niwaekeeni kaujuzi hapa wa kutengeneza mkate simple wa ufuta!! Mahitaji; Unga vikombe 2 Maziwa kikombe 1na...
5 Reactions
52 Replies
10K Views
Nimejipiga mwenyewe nikanunua azam unga,maziwa,samli,mayai. Nikachemsha samli iyeyuke nikachanganya unga,yai moja,chumvi kidogo,na sukari kiduchu kwa ladha maji yakawa maziwa nikakanda weee mpaka...
1 Reactions
21 Replies
13K Views
unachukua fish fillets au meat fillets unazikaanga na mafuta kidogo na vinegar kwa mbali kisha unapasulia yai lisilovurugwa juu yake unaacha kwenye moto kama dak 5 kisha unaopoa! unakuwa na...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Wapendwa leo niliandaa maandazi matamu balaa haya nlitumia hivi vipimo....jaribu na wewe uje uniambie kama hutashibia jikoni Mahitaji Unga kg 1 Sukari robo ila usijae Samli 5...
12 Reactions
92 Replies
38K Views
niupikaje huo uji jamani, msaada wa hatua na vinavyohitajika. asante
0 Reactions
19 Replies
32K Views
Taasisi ya kimataifa ya uwiano wa uzito na lishe ya Slimming World yenye makao yake makuu nchini Uingereza, imefanya uchunguzi kuhusu watu wanaokunywa pombe na kubaini kuwa inawaongezea kasi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mahitaji Unga nusu kilo Plain yogurt 4 tablespoon Sugar 1 teaspoon Chumvi 1/2 teaspoon Hamira 1 teaspoon Baking powder 1/2 teaspoon Warm water/warm milk Siagi kwa ajili ya...
11 Reactions
51 Replies
9K Views
Mahitaji Unga wa dengu 1 cup Kitunguu maji 1/4...kata ndongo ndogo Pilipili kijiko 1 cha chai.. Hamira 1 tea spoon.au baking powder Pilipili mboga 1/4...kata ndogo ndogo Chumvi kiasi Curry powder...
13 Reactions
59 Replies
16K Views
Wanajamvini nimekubali jamiiforum ni home of great thinkers.baada kupata hofu kali juu ya dengue na kuchoka kufungua mageti kwa mchina sasa nimefikiria kuanza kupika na kuuza maandazi na skonsi...
1 Reactions
5 Replies
5K Views
Nina oven ya mkaa kama ile ya TATEDO ninataka kuitumia kibiashara kupikia skonzi, Je ni nani anaweza kunisaidia recipe (jinsi ya kupika) hizo skonzi?
2 Reactions
4 Replies
39K Views
Mi napenda sana! 1.Ndizi nyama 2.Ugali na nyama choma.
0 Reactions
65 Replies
7K Views
Back
Top Bottom