Soseji ni kitafunwa kinachopendwa sana,na hutumika sana kama sehem ya kifungua kinywa.Ni namna nyingine ya kuhakikisha unapata protini kwenye kifungua kinywa.
Hata ivyo soseji huweza kutumika...
hii ni namna ya kutengeneza CURRY nyumbani kwako. KARIBU
Korma paste
2 cloves of garlic / a thumb-sized piece of fresh root ginger / ½ teaspoon cayenne pepper / 1 teaspoon garam masala / ½...
Kuku 1
Tangawizi
Kitunguu thomu 1 teaspoon
Orange juice 2 glasses waweza kamua fresh orange au orange juice ambayo 100% alafu no sugar added
Chumvi kiasi
Chungwa moja kwa ajili...
Type 1
Mahitaji
Majani ya salad
Samaki asie na miba wa kuchemsha bila ya viungo weka chumvi (unaweza tumia samaki wa kikopo)
Nyanya 1 kubwa
Kitunguu maji kidogo sana 1
Pilipili...
Wana jiko!! Ni mda sasa nimekua nikienjoy mapishi ya chef wetu farkhina. Naomba nami niwaekeeni kaujuzi hapa wa kutengeneza mkate simple wa ufuta!!
Mahitaji;
Unga vikombe 2
Maziwa kikombe 1na...
unachukua fish fillets au meat fillets unazikaanga na mafuta kidogo na vinegar kwa mbali kisha unapasulia yai lisilovurugwa juu yake unaacha kwenye moto kama dak 5 kisha unaopoa! unakuwa na...
Wapendwa leo niliandaa maandazi matamu balaa haya nlitumia hivi vipimo....jaribu na wewe uje uniambie kama hutashibia jikoni
Mahitaji
Unga kg 1
Sukari robo ila usijae
Samli 5...
Taasisi ya kimataifa ya uwiano
wa uzito na lishe ya Slimming
World yenye makao yake
makuu nchini Uingereza,
imefanya uchunguzi kuhusu
watu wanaokunywa pombe na kubaini kuwa inawaongezea
kasi...
Mahitaji
Unga wa dengu 1 cup
Kitunguu maji 1/4...kata ndongo ndogo
Pilipili kijiko 1 cha chai..
Hamira 1 tea spoon.au baking powder
Pilipili mboga 1/4...kata ndogo ndogo
Chumvi kiasi
Curry powder...
Wanajamvini nimekubali jamiiforum ni home of great thinkers.baada kupata hofu kali juu ya dengue na kuchoka kufungua mageti kwa mchina sasa nimefikiria kuanza kupika na kuuza maandazi na skonsi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.