Miss Bunyeta
Member
- Feb 22, 2015
- 70
- 14
Nikiwa mjini Tanga STIMA ni chakula maarufu sana mjini hapo, ni tamu sana na watu wengi hulisifia sana, unapata STIMA ya kuku, mbuzi au ng'ombe.
Sasa mimi natamani sana kujua namna ta kulipika naomba yeyote ajuae anjuze tafadhali.
Sijui kama nimekosea jina au laah!
Sasa mimi natamani sana kujua namna ta kulipika naomba yeyote ajuae anjuze tafadhali.
Sijui kama nimekosea jina au laah!