Wapishi wenzangu za Jumapili?
Just to share with u this, nimekuwa nikiitumia kujifunza mapishi mapya, kama ilishawahi kuwekwa hapa jikon basi si vibaya tukajikumbusha: pitia hapa ujifunze pishi...
Hello!
Naomba anisaidie mdau mtaalamu wa upambaji wa cake,nina iceing sugar natakiwa niichanganye na nini na nini ili niweze kuichora juu ya cake yangu kwa maana ya kuipamba.Plz help me!
Wadau wa hii forum tumekuwa wachoyo na wabinafsi kwa kujifikiria sisi wenyewe watu wazima na kusahau kabisa wana wetu ambao ni taifa na nguvu kazi ya kesho wengi wetu tuna watoto ambao tunawaacha...
Chipsi ni chakula kinachopendwa na watu wa rika zote.Ni moja ya vyakula maarufu sana Duniani.
Chipsi hupikwa na kuliwa katika namna mbambali,kwa kawaida huliwa na vyakula vyenye asili ya protini...
Supu/mchuzi wa Kichwa cha Sangara
Moja kati ya mambo ninayomiss sana kuhusu my home town MWANZA A.K.A. THE ROCK CITY ni Samaki.Samaki wanaopatikana ziwa Victoria wana sifa kubwa sana kitaifa...
MAHITAJI
VIAZI VITAMU
NYAMA YA NG'OMBE/KUKU /SAMAKI(Chagua kimoja kwa mlo unaweza kubadili kwa mlo mwingine)
NJEGERE
KAROTI
VITUNGUU VIKUBWA VIWILI
TANGAWIZI kiasi
BLUE BAND vijiko viwili vikubwa...
Unachotakiwa kufanya ni kuleta msosi wa wiki nzima wa familia ambao hauna ugali wala wali wala ngano...
Sababu ni kuwa licha ya kuwa kuna vyakula vya kila aina watanzania wengi huwa tunakula...
Nilishawahi kula nyama za kukaanga eneo fulani hivi, kwakweli nilivutiwa nazo sana!
leo nipo home kinda bored nikakumbuka hizo nyama, mwenye ueledi wa jinsi ya kutengeneza hizo nyama za kukaanga...
Mtori ni moja ya vyakula ambavyo nafurahia sana kula ninapokwenda kijijini kumsalimia bibi yangu kule uchagani.
Naamini wote tunajua kua mtori ni moja ya vyakula vya asili vya wachaga,kwakawaida...
Mchele wa brauni,unaojulikana zaidi kwa jina la kiingereza Brown rice,Ni mchele wenye wanga salama na unabeba virutubisho vingi kuliko mchele mweupe ,vitamin B1,B3,fatty acids,magnesium,iron na...
Nahitaji ile meat hand grinder kibongo bongo naipata wapi hapo dar nimtume mtu anichululie na sh ngapi??
Maana hawa wahindi wa supermarket kumaynina zao nyama hata robo haijafika eti 5000 ???
Wizi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.