Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Naombe mnielekeze jinsi ya kumtengeneza pls kukaanga au kulost au aina yoyote.mate yanatoka
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Wapishi wenzangu za Jumapili? Just to share with u this, nimekuwa nikiitumia kujifunza mapishi mapya, kama ilishawahi kuwekwa hapa jikon basi si vibaya tukajikumbusha: pitia hapa ujifunze pishi...
1 Reactions
2 Replies
4K Views
Mahitaji 1)Mchele vikombe 4 2)Nyama yenye mifupa 1 kg 3)Karoti kubwa 3...kata nyemba na refu 4)Uzile (bizari ya pilau) 1 teaspoon 5)Hiliki 1 teaspoon 6)Tangawizi 1 teaspoon 7)Kitunguu saumu 1...
11 Reactions
67 Replies
6K Views
Mahitaji Nyama ya kusaga nusu Kitunguu maji 1 Kitunguu saumu 2 teaspoon Tangawizi 1 teaspoon Kotmir (giligilani) 1 teaspoon Bizar ya pilau 1/2 teaspoon Mdalasini 1/2 teaspoon Bread...
4 Reactions
45 Replies
6K Views
Hello! Naomba anisaidie mdau mtaalamu wa upambaji wa cake,nina iceing sugar natakiwa niichanganye na nini na nini ili niweze kuichora juu ya cake yangu kwa maana ya kuipamba.Plz help me!
1 Reactions
8 Replies
44K Views
Wadau wa hii forum tumekuwa wachoyo na wabinafsi kwa kujifikiria sisi wenyewe watu wazima na kusahau kabisa wana wetu ambao ni taifa na nguvu kazi ya kesho wengi wetu tuna watoto ambao tunawaacha...
4 Reactions
32 Replies
7K Views
0 Reactions
26 Replies
3K Views
nataka kujua jinsi ya kupika halfcke unga kg 1 baking powder ni kiasi gani?
0 Reactions
16 Replies
51K Views
naomba msaada juu ya kumuandaa kuku na viungo gani vya kumuweka, nataka kumkaanga. ahsante
0 Reactions
10 Replies
6K Views
Chipsi ni chakula kinachopendwa na watu wa rika zote.Ni moja ya vyakula maarufu sana Duniani. Chipsi hupikwa na kuliwa katika namna mbambali,kwa kawaida huliwa na vyakula vyenye asili ya protini...
4 Reactions
5 Replies
14K Views
Supu/mchuzi wa Kichwa cha Sangara Moja kati ya mambo ninayomiss sana kuhusu my home town MWANZA A.K.A. THE ROCK CITY ni Samaki.Samaki wanaopatikana ziwa Victoria wana sifa kubwa sana kitaifa...
1 Reactions
23 Replies
13K Views
MAHITAJI VIAZI VITAMU NYAMA YA NG'OMBE/KUKU /SAMAKI(Chagua kimoja kwa mlo unaweza kubadili kwa mlo mwingine) NJEGERE KAROTI VITUNGUU VIKUBWA VIWILI TANGAWIZI kiasi BLUE BAND vijiko viwili vikubwa...
2 Reactions
11 Replies
3K Views
  • Redirect
Naombeni mnisaidie namna ya kuandaa kachori dada zangu na mama zangu.
0 Reactions
Replies
Views
Unachotakiwa kufanya ni kuleta msosi wa wiki nzima wa familia ambao hauna ugali wala wali wala ngano... Sababu ni kuwa licha ya kuwa kuna vyakula vya kila aina watanzania wengi huwa tunakula...
16 Reactions
120 Replies
20K Views
Nilishawahi kula nyama za kukaanga eneo fulani hivi, kwakweli nilivutiwa nazo sana! leo nipo home kinda bored nikakumbuka hizo nyama, mwenye ueledi wa jinsi ya kutengeneza hizo nyama za kukaanga...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
wakuu hebu naomba mnifahamishe namna ya kutengeneza hizi ndude za kulamba, maana sijui hata jina kama nimelipatia. Msaada pliz kwa anayeweza.
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Mtori ni moja ya vyakula ambavyo nafurahia sana kula ninapokwenda kijijini kumsalimia bibi yangu kule uchagani. Naamini wote tunajua kua mtori ni moja ya vyakula vya asili vya wachaga,kwakawaida...
2 Reactions
7 Replies
4K Views
Mchele wa brauni,unaojulikana zaidi kwa jina la kiingereza Brown rice,Ni mchele wenye wanga salama na unabeba virutubisho vingi kuliko mchele mweupe ,vitamin B1,B3,fatty acids,magnesium,iron na...
1 Reactions
3 Replies
10K Views
Nahitaji ile meat hand grinder kibongo bongo naipata wapi hapo dar nimtume mtu anichululie na sh ngapi?? Maana hawa wahindi wa supermarket kumaynina zao nyama hata robo haijafika eti 5000 ??? Wizi...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Back
Top Bottom