Pengine umewai kujiuliza kwanini ukiifadhi viazi ulaya au viazi vitamu nyumbani havikai muda mrefu vikiwa vizima ,naamini mara nyingi umehifadhi viazi vikaaribika kwa kutoa maji,kutengeneza...
Eti wanjamvi..nimuwekee nini mbuzi choma anogeee had nijisikie kweli nimemla..
Kuna chef mmoja nilimuamini nikamkodi aliweka weka vikorombwexo hakuvutia kwakweli...nipeni maujuzi tafadhali
Pishi hili ni maalum kabisa kwa wale ambao ni wageni jikoni au hawajui kupika.Niliomba nipewe pishi la futari ambalo hata asiejua kupika anaweza jaribu na akapatia,nikapewa pishi hili.Shukurani...
Recipe/Mapishi ya MAIDANA DEMARNY
Mahitaji
Maharage 1/2
Chumvi kijiko cha chai 1
Nazi kopo 1/ nazi ya kawaida 1 kubwa.
Kitunguu maji 1
Kitunguu swaumu punje 2
Binzari kidogo
Njia
1...
Recipe/Pishi la Raphia Hussein
Mahitaji
Ndizi Malindi 5
Nyama ya Ng'ombe½ kilo
Vitunguu maji 2
Vitunguu saumu kijiko 1 cha chai
Nyanya 3
Binzari ½ kijiko cha chai
Chumvi kwa kiasi chako
Hoho 1...
Wale wenzangu wa huku jikoni hebu leo kila mmoja ataje chakula apendacho na anaandaje tugawane maujuzi ya mahanjumati.....
Naanza mimi napenda afghani rice recipe yake hii apa ndivo naandaa hivi...
Kuepuka usumbufu wa kwenda kujisaidia unaposafiri pata huu mlo...!
Mayai mawili tu ya kuchemsha na malta moja
Mlo huu utakusaidia pia kama bajeti inabana kwakuwa hutaumwa njaa wala hutasikia kiu...
Maji ya moto robo lita, yaliyochanganywa na asali mbichi vijiko vitano, na kijiko kidogo cha kitunguu saumu cha kusaga shushia na mayai mawili ya kuchemsha hasa ya kienyeji daily
CHORDS THAT ARE...
Habari zenu wana JF wenzangu,
Nimekuwa nikifuatilia nyuzi mbali mbali na watu wengi wamekuwa wakilalamika kuwa matumbo yanajaa ges au wana vimbewa.
Kwanza hakikisha usiku kabla ya kulala...
Leo bwana nimetoka kuzurura nimerudi kulala aaa nikaona kila siku kula kwa jirani noma ngoja leo nikaushe nipike nikaingia rum kuangaza angaza kupika cha dakika 2 akili ikanijia fasta mchuzi wa...
Vaaaap napitia humu kila nikitoa jicho nakuta kila pishi ni mwendo wa saa liimoja..
Hebu wadau tushirikiane mapishi ya chap chap ya ki bachelor....
Kwangu napendelea kupika.
1. Tambi, nachemsha...
Wadau ninagombana na mama J hadi basi, mimi sioni shida ya kununua tetra boxed juice mfano Golden circle, Ceres, Delmontre etc nakunywa tu kwa vile naamini zile nembo za 'No added sugar'. On the...
Description
The contrasting textures of crunchy broccoli and creamy, soft avocado make this quick salad interesting and delicious.
It is rich in monounsaturated fat and full of protective...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.