kufanakupona
JF-Expert Member
- Jun 18, 2015
- 522
- 417
Za saa hizi,
Hamna ubuge ninaoupenda kama sukari guru,ulaini laini wake kama keki na sukari tu,taaaaamu! Kibaya huku kwetu zinapatikana kwa nadra sana kwa msimu.
Napenda kuzipika mwenyewe kila mara niwe nazibunya tu,am am am am am.Kuzitengeneza kwake ndiyo shughuli,ishu.
Nielekezeni wakuu jinsi ya kutengeneza sukari guru
Hamna ubuge ninaoupenda kama sukari guru,ulaini laini wake kama keki na sukari tu,taaaaamu! Kibaya huku kwetu zinapatikana kwa nadra sana kwa msimu.
Napenda kuzipika mwenyewe kila mara niwe nazibunya tu,am am am am am.Kuzitengeneza kwake ndiyo shughuli,ishu.
Nielekezeni wakuu jinsi ya kutengeneza sukari guru