Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Leo jikoni tunaangalia mapishi ya mchemsho wa samaki. Mchemsho huu ni kwa ajili ya watu wawili. Mahitaji . Samaki wakubwa kiasi 2 (Hapa natumia changu) . Viazi mviringo 5 . Bamia, karoti...
5 Reactions
27 Replies
23K Views
Mahitaji Nyama ya kusaga robo...ichemshe na kuweka spices upendazo Mayai 5-6 inategemea na ukubwa.. Pilipili hoho kipande Karot 1 ndogo ipare iwe ndogo ndogo Chumvi kiasi Kitunguu saumu 1/2...
13 Reactions
103 Replies
27K Views
Mahitaji Ndizi zilozowiva (mkono wa tembo au mzuzu) 4-5 Hiliki nusu kijiko cha chai Sukari 1 tablespoon (sio lazima) Tui bubu kiasi Tui jepesi kiasi Custard kijiko kimoja cha kulia...
16 Reactions
75 Replies
26K Views
Habari yenu Wakuu, Katika vyakula vinavyoongelewa na watu wengi ila mimi sielewi, ni hiki chakula kinaitwa Pizza. Hivi piza ina nini cha ziada? Nalijaribu kula mara sita sehemu tofauti hapa Dar...
8 Reactions
128 Replies
30K Views
Habar zenu Natumain wazima woote Leo tujifunze kutangaza pilipili rahc zaid,ya haraka na itakayokaa kwa muda mrefu bila hata kuweka kwenye frige Mahitaji Pilipili unazohitaji ww Nyanya fresh 5...
6 Reactions
26 Replies
20K Views
Jinsi ya kupika chapati za nazi na nido - JamiiForums MAHITAJI Unga wa ngano 1kg Maziwa ya nido vijiko viwili vya chakula Blue band vijiko viwili vya chakula Mafuta ya kupikia nusu lita Nazi...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Msaada wadau kwa mtyu anaye fahamu kupika bisi zile cha sukali maelezo .kidogo kwa m Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
1K Views
**********Mahitaji *********** Brokoli kiasi Carrot 1 kubwa Kitunguu 1 kikubwa Kitunguu saumu chembe 5 katakata ndogo au twanga Nyanya (tomatoes) 2 kubwa Pilipili mboga nusu (unaweza...
9 Reactions
45 Replies
20K Views
Pana utafiti uliisha fanywa kuwa kutumia mifuko ya plastiki kufunikia wakati wa kupika ni hatari kwa afya. Lakini hapa Dar mama lishe wengi wanaitumia katika kupikia vyakula. Hivi mamlaka husika...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Anayetaka kujifunza kupika chapati lain na mchambuko ani pm Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Katika starehe ninazopenda hapa duniani ni kula na kulala, huwa ninapenda kujifunza kupika vyakula tofauti, ninapenda kujaribu kula vyakula tofauti na vile nilivyozoea. Katika marafiki...
10 Reactions
65 Replies
13K Views
Weekend hii nilimpumzisha dada kupika nikaingia jikoni mwenyewe. Dada wangu wa kazi anajua kupika hivyo mara nyingi namuachia apike yeye. Jana nilipika biriani ya nyama nikasahau picha. Leo jioni...
6 Reactions
65 Replies
6K Views
Habarini Wadau, Inaaminika kuwa kitimoto ni nyama tamu sana kuliko nyama zingine nyingi tu, kwa walioionja au wanaoitumia. Ila, sijawahi kuona mishikaki ya nyama ya nguruwe, nimezoea kuona...
6 Reactions
73 Replies
15K Views
Nataka nitengeneze cookies amazing hapa Anaetaka aje whatsup nimuadd Skype tupike wote
3 Reactions
109 Replies
8K Views
Habari wanajf nimekuwa nikijaribu kupika lakini naishia kupika bokoboko sasa nilikuwa naomba ushauri jinsi ya kupika wali vizuri kama wa hotelini yaan nisaidieni please.
0 Reactions
8 Replies
24K Views
Nimechoka kulishwa nazi na Bakhresa za kiwandani. Nataka nazi original toka shamba mnazini. Tatizo lipo ktk ukunaji wa iyo nazi ili kupata tui. Vipi naweza kutumia utaalam na kifaa gani...
0 Reactions
7 Replies
10K Views
Habari wana jamii forums Kwa anayejua kutengeneza ice cream naomba msaada.Sio hizi local za ubuyu na ukwaju .Nataka zile za kupima.kwa yeyote anayefahamu anisaidie
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Mahitaji: Nyama ya ng'ombe Ndizi mbichi Kitunguu maji Mafuta ya kupikia Blue band / Tanbond Chumvi kiasi Namna ya Kupika Katakata nyama na kisha iweke kwenye sufuria yenye maji kidogo na chumvi...
7 Reactions
55 Replies
10K Views
Helo wapendwa wa madikodiko Ngoja niwapeni siri moja Parachichi ni mojawapo ya matunda tajiri duniani. Yaani kama huli parachichi jua huna Bahati. Mungu kaibariki sana Tanzania ulaya parachichi...
6 Reactions
32 Replies
4K Views
Jameni,siku hizi nimekua nachukua video za you tube najipikilisha keki kwa ajili ya watoto na ili dada wangu wa nyumbani nae ajifunze kupika keki.(inaeza kuja kimsaidia mbeleni) ila wote wanafunzi...
1 Reactions
62 Replies
31K Views
Back
Top Bottom