Leo jikoni tunaangalia mapishi ya mchemsho wa samaki. Mchemsho huu ni kwa ajili ya watu wawili.
Mahitaji
. Samaki wakubwa kiasi 2 (Hapa natumia changu)
. Viazi mviringo 5
. Bamia, karoti...
Mahitaji
Nyama ya kusaga robo...ichemshe na kuweka spices upendazo
Mayai 5-6 inategemea na ukubwa..
Pilipili hoho kipande
Karot 1 ndogo ipare iwe ndogo ndogo
Chumvi kiasi
Kitunguu saumu 1/2...
Mahitaji
Ndizi zilozowiva (mkono wa tembo au mzuzu) 4-5
Hiliki nusu kijiko cha chai
Sukari 1 tablespoon (sio lazima)
Tui bubu kiasi
Tui jepesi kiasi
Custard kijiko kimoja cha kulia...
Habari yenu Wakuu,
Katika vyakula vinavyoongelewa na watu wengi ila mimi sielewi, ni hiki chakula kinaitwa Pizza. Hivi piza ina nini cha ziada? Nalijaribu kula mara sita sehemu tofauti hapa Dar...
Habar zenu
Natumain wazima woote
Leo tujifunze kutangaza pilipili rahc zaid,ya haraka na itakayokaa kwa muda mrefu bila hata kuweka kwenye frige
Mahitaji
Pilipili unazohitaji ww
Nyanya fresh 5...
Jinsi ya kupika chapati za nazi na nido - JamiiForums
MAHITAJI
Unga wa ngano 1kg
Maziwa ya nido vijiko viwili vya chakula
Blue band vijiko viwili vya chakula
Mafuta ya kupikia nusu lita
Nazi...
Pana utafiti uliisha fanywa kuwa kutumia mifuko ya plastiki kufunikia wakati wa kupika ni hatari kwa afya. Lakini hapa Dar mama lishe wengi wanaitumia katika kupikia vyakula. Hivi mamlaka husika...
Katika starehe ninazopenda hapa duniani ni kula na kulala, huwa ninapenda kujifunza kupika vyakula tofauti, ninapenda kujaribu kula vyakula tofauti na vile nilivyozoea. Katika marafiki...
Weekend hii nilimpumzisha dada kupika nikaingia jikoni mwenyewe. Dada wangu wa kazi anajua kupika hivyo mara nyingi namuachia apike yeye. Jana nilipika biriani ya nyama nikasahau picha. Leo jioni...
Habarini Wadau,
Inaaminika kuwa kitimoto ni nyama tamu sana kuliko nyama zingine nyingi tu, kwa walioionja au wanaoitumia.
Ila, sijawahi kuona mishikaki ya nyama ya nguruwe, nimezoea kuona...
Habari wanajf nimekuwa nikijaribu kupika lakini naishia kupika bokoboko sasa nilikuwa naomba ushauri jinsi ya kupika wali vizuri kama wa hotelini yaan nisaidieni please.
Nimechoka kulishwa nazi na Bakhresa za kiwandani. Nataka nazi original toka shamba mnazini. Tatizo lipo ktk ukunaji wa iyo nazi ili kupata tui.
Vipi naweza kutumia utaalam na kifaa gani...
Habari wana jamii forums
Kwa anayejua kutengeneza ice cream naomba msaada.Sio hizi local za ubuyu na ukwaju .Nataka zile za kupima.kwa yeyote anayefahamu anisaidie
Mahitaji:
Nyama ya ng'ombe
Ndizi mbichi
Kitunguu maji
Mafuta ya kupikia
Blue band / Tanbond
Chumvi kiasi
Namna ya Kupika
Katakata nyama na kisha iweke kwenye sufuria yenye maji kidogo na chumvi...
Helo wapendwa wa madikodiko
Ngoja niwapeni siri moja
Parachichi ni mojawapo ya matunda tajiri duniani. Yaani kama huli parachichi jua huna Bahati. Mungu kaibariki sana Tanzania ulaya parachichi...
Jameni,siku hizi nimekua nachukua video za you tube najipikilisha keki kwa ajili ya watoto na ili dada wangu wa nyumbani nae ajifunze kupika keki.(inaeza kuja kimsaidia mbeleni) ila wote wanafunzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.