Habari zenu wadau?
Mimi nilikuwa napenda kufahamu ungependa upate viungo gani vya chakula ambavyo vimeshaandalliwa na kufungashwa ili kurahisisha mapishi yako. yani nipe mawazo yako ni viungo...
MAGIMBI YA NAZI
MAHITAJI
1. Magimbi
2. Nyama
3. Nazi
4. Nyanya za mchuzi(Tungule)
5. Kerot
6. Pilipili Boga (Pilipili hoho)
7. Kitunguu maji
8. Kitunguu thomu
9. Tangawizi
10. Nyanya ya paket
11...
Muhogo wa nazi,vitumbua, chai ya kichwa, wali wa nazi, mchuzi chukuchuku,mkate wa maji, mkate wa kumimina, vibibi, uji wa pilipili, uji wa muhog, maandazi, mahamri, tambia, maharage, juis ya...
Wakuu kwanza samahanini,nimetafuta jukwaa la mapishi sijaliona.Naomba mtu yeyote anayejua kutengeneza bagia kwa unga wa dengu anijuze.Je unachanganya na nini na uanakorogaje,pia unasubiri muda...
Heri ya Pasaka wana JF
Nimezoea miaka yote siku za sikukuu kama hizi naalikwa na ndugu,jamaa na marafiki kwenda kula nao sikukuu ila hali imekuwa tofauti pasaka hii, mpaka sasa sijapata mwaliko...
Leo nahitaji kushiriki nanyi chakula ambacho mara nyingi mama yangu amekuwa akipenda kutupikia kimekuwa kama ni chakula cha kifamilia na akiweka secret ingredients ambayo hiyo sitoitaja maana...
Hii ndio yangu kwa leo:
Mahitaji;
500 gm spaghet
200gm or 8 pieces of lady finger fruiit cust into halves
300gm or 4 pieces of tomato fruit make into paste
Onion cut into slices
food...
Mi mgeni kwenye jukwaa lenu wapendwa ila limenivutia sana nikaona si mbaya kama nitashare nanyi ujuzi na kupata mawazo mapya kuhusu mapishi mbali mbali.
Leo wapenzi ningependa muonje uji wa...
Vyuma vimekaza, hii ni njia rahisi ya kupata balanced diet yenye protein. Ni mlo wa mayai mawili. Mods si kuona jukwaa la mapishi.
Kata kitunguu, nyanya, hoho, uviweke sehem tofauti kwenye...
Wapenzi mie upishi zamani nilikuwa sipendi kabisa ha ha ila sasa ndio nimeanza kuwa na Interest za kupika pika vyakula mbalimbali Ila kuna vitu napenda sana kujua,hasa hapa nilipo tukiagiza Keki...
Hii inawahusu sana Wanaume wa Pwani hasa wale wa Daslam!
Kweli unaweza ukatoka nyumbani kwako ukaenda kununua Pweza na kumla kweli?
Tena kuna wengine wanapeleka zawadi mpaka nyumbani kwao...
Vipimo
Vikombe 3 vya unga
Kikombe 1 maziwa ya dafudafu (warm)
½ kikombe sukari
½ kikombe maziwa ya unga
Mayai 2
Kijiko 1 cha chai baking powder
½ kijiko cha hiliki ya unga
1/3 kikombe mafuta...
TAMBI ZA MIHOGO
Mahitaji
a) vikombe 3 vya unga wa mihogo
b) kikombe 1 ½ cha unga wa soya
c) yai 1
d) kijiko 1 cha unga wa curry
e) chumvi kiasi kidogo kwa ladha
f) maji...
Juisi Ya Mabungo
Vipimo: Kupata takriban gilasi 6
Mabungo................................................ 3
Maji....................................................... 6 au 7 Gilasi...
kwa wale wapenzi wa chapati Kama mie Naona mate yashawatoka. Upishi Wa chapati umekua kitendawili kwa warembo wengi sana ila ukishazijulia utakua wazipika kila siku.
Leo naja waletea pishi hili...
Hawa ni bata wale wafugwao,kama ilivyo kwa kuku bata hawa pia wanauzwa masokoni na wachinjaji hadi wanyonyoaji wapo huko huko sokoni,wananyonyoa na kukukatia katia nyama vizuri,pesa yako tu...
Naomba msaada wa kuelekezwa utengenezaji wa siagi ya karanga (peanut butter) ntashukulu nikipata msaada wenu.
Mahitaji
1)Karanga kg 1/4
2)Asali kijiko 1.5 cha chakula
3)Peanut oil au mafuta...
jamani wana jamvi wa mapishi mim nime jaribu sana kutengeneza peanuts butter lakin kila niki pack kwenye container ina chacha hivi ni kwa nini
naomba msaada wenu jamani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.