Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Habari zenu wadau? Mimi nilikuwa napenda kufahamu ungependa upate viungo gani vya chakula ambavyo vimeshaandalliwa na kufungashwa ili kurahisisha mapishi yako. yani nipe mawazo yako ni viungo...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
MAGIMBI YA NAZI MAHITAJI 1. Magimbi 2. Nyama 3. Nazi 4. Nyanya za mchuzi(Tungule) 5. Kerot 6. Pilipili Boga (Pilipili hoho) 7. Kitunguu maji 8. Kitunguu thomu 9. Tangawizi 10. Nyanya ya paket 11...
1 Reactions
2 Replies
9K Views
Muhogo wa nazi,vitumbua, chai ya kichwa, wali wa nazi, mchuzi chukuchuku,mkate wa maji, mkate wa kumimina, vibibi, uji wa pilipili, uji wa muhog, maandazi, mahamri, tambia, maharage, juis ya...
1 Reactions
14 Replies
5K Views
Wakuu kwanza samahanini,nimetafuta jukwaa la mapishi sijaliona.Naomba mtu yeyote anayejua kutengeneza bagia kwa unga wa dengu anijuze.Je unachanganya na nini na uanakorogaje,pia unasubiri muda...
0 Reactions
4 Replies
22K Views
Heri ya Pasaka wana JF Nimezoea miaka yote siku za sikukuu kama hizi naalikwa na ndugu,jamaa na marafiki kwenda kula nao sikukuu ila hali imekuwa tofauti pasaka hii, mpaka sasa sijapata mwaliko...
7 Reactions
34 Replies
9K Views
Leo nahitaji kushiriki nanyi chakula ambacho mara nyingi mama yangu amekuwa akipenda kutupikia kimekuwa kama ni chakula cha kifamilia na akiweka secret ingredients ambayo hiyo sitoitaja maana...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Hii ndio yangu kwa leo: Mahitaji; 500 gm spaghet 200gm or 8 pieces of lady finger fruiit cust into halves 300gm or 4 pieces of tomato fruit make into paste Onion cut into slices food...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Mi mgeni kwenye jukwaa lenu wapendwa ila limenivutia sana nikaona si mbaya kama nitashare nanyi ujuzi na kupata mawazo mapya kuhusu mapishi mbali mbali. Leo wapenzi ningependa muonje uji wa...
11 Reactions
17 Replies
26K Views
Vyuma vimekaza, hii ni njia rahisi ya kupata balanced diet yenye protein. Ni mlo wa mayai mawili. Mods si kuona jukwaa la mapishi. Kata kitunguu, nyanya, hoho, uviweke sehem tofauti kwenye...
11 Reactions
40 Replies
11K Views
Wapenzi mie upishi zamani nilikuwa sipendi kabisa ha ha ila sasa ndio nimeanza kuwa na Interest za kupika pika vyakula mbalimbali Ila kuna vitu napenda sana kujua,hasa hapa nilipo tukiagiza Keki...
2 Reactions
5 Replies
10K Views
Heshima kwenu wakuu, Nmegundua kumbe kutengeneza chapati simple sana. Nimetengeneza chapati sikutegemea kama zitakua tamu hivi. Yaani ni tamu balaa.. Nikimpikia mgeni itabidi nimwambie awe makini...
2 Reactions
279 Replies
20K Views
Hii inawahusu sana Wanaume wa Pwani hasa wale wa Daslam! Kweli unaweza ukatoka nyumbani kwako ukaenda kununua Pweza na kumla kweli? Tena kuna wengine wanapeleka zawadi mpaka nyumbani kwao...
2 Reactions
25 Replies
2K Views
Naomba msaada kwa anaejua kutatua tatizo hili,Fridge yangu inachachisha chakula ila kwenye freezer inagandisha vizuri
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Vipimo Vikombe 3 vya unga Kikombe 1 maziwa ya dafudafu (warm) ½ kikombe sukari ½ kikombe maziwa ya unga Mayai 2 Kijiko 1 cha chai baking powder ½ kijiko cha hiliki ya unga 1/3 kikombe mafuta...
5 Reactions
19 Replies
35K Views
TAMBI ZA MIHOGO Mahitaji a) vikombe 3 vya unga wa mihogo b) kikombe 1 ½ cha unga wa soya c) yai 1 d) kijiko 1 cha unga wa curry e) chumvi kiasi kidogo kwa ladha f) maji...
1 Reactions
4 Replies
19K Views
Juisi Ya Mabungo Vipimo: Kupata takriban gilasi 6 Mabungo................................................ 3 Maji....................................................... 6 au 7 Gilasi...
4 Reactions
22 Replies
20K Views
kwa wale wapenzi wa chapati Kama mie Naona mate yashawatoka. Upishi Wa chapati umekua kitendawili kwa warembo wengi sana ila ukishazijulia utakua wazipika kila siku. Leo naja waletea pishi hili...
2 Reactions
8 Replies
4K Views
Hawa ni bata wale wafugwao,kama ilivyo kwa kuku bata hawa pia wanauzwa masokoni na wachinjaji hadi wanyonyoaji wapo huko huko sokoni,wananyonyoa na kukukatia katia nyama vizuri,pesa yako tu...
9 Reactions
33 Replies
12K Views
Naomba msaada wa kuelekezwa utengenezaji wa siagi ya karanga (peanut butter) ntashukulu nikipata msaada wenu. Mahitaji 1)Karanga kg 1/4 2)Asali kijiko 1.5 cha chakula 3)Peanut oil au mafuta...
4 Reactions
28 Replies
43K Views
jamani wana jamvi wa mapishi mim nime jaribu sana kutengeneza peanuts butter lakin kila niki pack kwenye container ina chacha hivi ni kwa nini naomba msaada wenu jamani
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom