Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Habarini wana jamvi! Binafsi napata tabu sana kumkata kuku vipande vipande, nikimkata nakata hovyo hovyo tu, naomba kuelekezwa jinsi ya kukata vizuri hatua kwa hatua. Asanteni.
0 Reactions
22 Replies
26K Views
Naomba msaada wa software za simu zinaweza kutumika kwenye windows Pc na jinsi yakuzipata asantoeni
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari mabibi na mabwana! Kuanzia dunia inaumbwa hadi leo hii tulipo tumekuwa tukishauriwa au kujishauri kuhusu ulaji wa matunda na mboga za majani. Nadhani hata mgonjwa hospitali huwa daktari...
2 Reactions
18 Replies
6K Views
Jinsi ya kupika biryani ya kuku, ng'ombe au mbuzi Mahitaji 1 kilo mchele wa basmati mrefu 1 kilo nyama iwe ya kuku au ng'ombe au mbuzi kata katika umbo dogo la kutosha kula kisha...
13 Reactions
82 Replies
88K Views
Wadau naomba msaada wa maelekezo jinsi Ice cream local huwa zinaandaliwaje?
0 Reactions
4 Replies
8K Views
JINSI YA KUANDAA NA KUTENGENEZA BISKUTI ZA JAM . MAHITAJI:- Unga 2½ glasi Sukari ¾ glasi Samli\blue band(ndogo) Mayai 2 Baking powder 2 kijiko vya chai Vanilla 1½ kijiko cha chai Maganda ya...
4 Reactions
26 Replies
10K Views
Kumbe kutumia tsh 15,000 kwa ajili ya chakula ni kujidekeza tu!Jioni nikirudi home nahakikisha napika wali wa kutosha nakula jioni. Asubuhi nakunywa na chai nachukua hot pot naweka cha mchana...
6 Reactions
42 Replies
9K Views
Habari wana Jamvi, Nahitaji kujua jinsi ya kupika hii mboga, kwani ina manufaa makwuba kwenye mwili wa binadamu, Kwa mdau anaefahamu jinsi ya kupika mboga tunaomba maelekezo yake ili tuanze...
1 Reactions
3 Replies
7K Views
Wakuu,naomba kuelekezwa namna ya kupika brown rice,naona kama unanishinda,uko tofauti sn na ule mchele wa kawaida
2 Reactions
5 Replies
3K Views
Uzi wa kumkaribisha member yeyote wa JamiiForums karibu ya chakula cha mchana (lunch time) Bila kusahau picha ya chakula itapendeza zaidi. Karibuni lunch wapendwa #demisi #Mshanajr #EverynSalt...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Chakula kitamu sana kwa ugali hiki
1 Reactions
11 Replies
10K Views
Asubuhi hii nimefika hapa Ngara, nimekula kitu Adimu kwa Mikoa mingine, Kitu hiyo ni KATOGO, hii kitu tamu sana. Wana Kagera Karibu, tujuzane na na Vyakula vingine vya Asili ktk Mkoa huu.
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Mahitaji Ndizi mshale 10 Utumbo wa ng'ombe 1/2 kilo Nazi ya kopo 1 Nyanya 1 Kitunguu kikubwa 1 Tangawizi/ swaum 1 kijiko cha chakula Olive oil kiasi Limao 1 Chumvi Curry powder 1 kijiko cha chai...
3 Reactions
4 Replies
11K Views
AINA YA KWANZA Vipimo 1. Siagi - 200g 2. Unga - 2 Vikombe 3. Sukari - 1 Kikombe 4. Vanilla - ½ Kijiko 5. Arki rose ukipenda - 2 matone 6. Mayai - 6 7. Zabibu - ¼ Kikombe 8. Baking powder -...
2 Reactions
9 Replies
5K Views
Napenda Kupika na najivunia kuwa sehemu ya kuwapikia wale nilio nao nyumbani pale niwapo nyumbani..... Wale ambao pia wana hobby kama yangu basi njoo tuongee chakula gani au menu gani unapenda...
4 Reactions
102 Replies
12K Views
Mkate wa kidole ni mkate wa kiasili ulopikwa kutumia tui la nazi na ni mtamu sana. Ladha yake ni ya kipekee! Mkate huu una majina mingi kutokana na shepu unazoziunda madonge yake. Kwa mfano...
1 Reactions
1 Replies
4K Views
"How to make cannabis-infused honey" When it gets colder outside, and we’re all looking for something sweet and warm to help soothe the winter blues, it means it's the perfect time to whip up...
0 Reactions
0 Replies
970 Views
Licha ya kutumika kama chakula cha kawaida,boga pia huweza kutumika kutengezea supu ambayo ni nzuri na nzito twende moja kwa moja. MAHITAJI: BOGA CARROT LEEKS ROSEMARY BLUEBAND SALT MAZIWA ONION...
0 Reactions
0 Replies
8K Views
Wapendwa naomba msaada wa mahitaji na jinsi ya kupika biriani!!_ Natanguliza shukurani.
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Wanajamvi, anayejua materials yaliyotumika kutengenezea diamond karanga aje atueleze hapa.
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Back
Top Bottom