Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Napenda sana kula vyakula jamii ya ngano kama; 1. Chapati 2. Maandazi 3. Half cakes 4.Tambi 5.Napenda mboga kama maharage, samaki sato, mchuzi mzito wa kuku 6.Napenda nyama ya kuku...
8 Reactions
174 Replies
30K Views
Kwanza tuelewane hapa ni mapishi two in one wali ulioonyoka(basmati rice namanisha basmati siyo ile ya shinyanga ukiichemsha inashikamana kama ugali ) na ule mchuzi wake mzito MAHITAJI YA MCHUZI...
29 Reactions
101 Replies
81K Views
Tafadhali wana jamvi,mwenye kujua namna ya kupoka chakula cha utumbo chukuchukuku na chapati za maji anisaidie,Nimetumia neno chukuchuku nikiwa na maana (isiwe na mafuta wala maviungo viungo mengi)
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ndugu zangu mimi ni mpishi ninaependa kupika na pia kula vyakula vilivyoandaliwa kwa afya nimesoma na kuona kuwa matumizi ya viungo kama hamira baking powder na bicarbonate soda na vanilla na...
2 Reactions
5 Replies
6K Views
Naomba maelezo ya kutengeneza zile chapati za kufungia sambusa, Ni kwamba hiyo kitu nilikuwa nikijua siku nyingi zilizopita nikiwa bado kijana enzi hizo nipo hapo Pwani ya Tanzania, kwa sasa...
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Makaroni nichakula jamii ya Tambi,ni moja kati ya vyakula ambavyo napenda kupika siku za jumapili ninapokwepa kukaa jikoni kwa muda mrefu. makaroni ya nyanya na nazi Mahitaji Makaroni mfuko 1...
10 Reactions
27 Replies
21K Views
Watu wa Dar karibuni. Ukipata Hii Kitu roho inafurahia sana. Likizo Yangu Yote naitumia kula chakula cha asilia Nikirudi Huko Nido nianze kukimbizana na supu ya pweza, mahidni ya kuchoma yenye...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Za kazi wakuu. Napenda sana vyakula vitamu ila sijui kupika. Leo nataka nianza na chapatti flani amazing, Hizi chapatti zinakua ni laini, nene, zina rangi nzuri ya brown kutokana na zimepikwa...
2 Reactions
4 Replies
5K Views
Wanajamvi kama kichwa kinavyojieleza naomba kujua vipimo Kwa ajili ya cake ya biashara nikimaanisha cake za kuuza madukani, super markets na kathalika. Na nini niweke ili iweze kaa MDA mrefu bila...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Bread maker inakanda unga vizuri sana , una iset isimame kabla haijaanza baking. Weka vipimo vyako sawa
3 Reactions
26 Replies
8K Views
Jamani mwenye kujua namna ya kutengeneza crisps za ndizi msaada
2 Reactions
9 Replies
6K Views
Ninaomba msaada jinsi ya kupika tambi za dengu.tambi zile zinazo pikwa na unga wa dengu.Tambi hizi huwa zinauzwa mtaani we ngine hutia nakaranga.
0 Reactions
27 Replies
38K Views
Nimetafuta masokoni kama kilombero na soko kuu sijafanikiwa kuipata
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Mapishi is the application that intends to facilitate Swahili speaking people to have these recipes at their convenience https://goo.gl/novKRA
2 Reactions
0 Replies
1K Views
Katka maPishi ya mishika kunaarufu Fulani ambayo ni mvuto kwa wateja. Je ni viungo Gani uleta LADHA NA MNUKIO PINDI UNACHOMA MISHIKAKI
1 Reactions
20 Replies
7K Views
Maandalizi; dakika 15 Muda wa kumarinate; dakika 15 Muda wa kupika; dakika 8 Muda jumla; dakika 38 Mahitaji Kupata uhakika na kutumia viungo sahihi, endapo jina la kiungo limewekewa mstari, bofya...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Hello ladies and gents Natafuta mpishi wa bites kama sambusa,vitumbua,andazi na chapati na vinginenvyo. Kazi ipo dar es salam,kama kuna mtu yupo tayari ama kunna mtu unamfaham tuwasiliane. +255736...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mapishi ya Samaki Wabichi Chukuchuku Samaki wabishi wawili Kitunguu saumu kimoja Kitunguu maji kimoja Nyanya mbili kubwa Tangawizi kidogo Ndimu mbili Pilipili ndefu (nyekundu) moja Chumvi half...
3 Reactions
3 Replies
41K Views
Leo jikoni tunaangalia mapishi ya mchemsho wa samaki. Mchemsho huu ni kwa ajili ya watu wawili. Mahitaji . Samaki wakubwa kiasi 2 (Hapa natumia changu) . Viazi mviringo 5 . Bamia, karoti...
5 Reactions
27 Replies
23K Views
Back
Top Bottom