Napenda sana kula vyakula jamii ya ngano kama;
1. Chapati
2. Maandazi
3. Half cakes
4.Tambi
5.Napenda mboga kama maharage, samaki sato, mchuzi mzito wa kuku
6.Napenda nyama ya kuku...
Kwanza tuelewane hapa ni mapishi two in one wali ulioonyoka(basmati rice namanisha basmati siyo ile ya shinyanga ukiichemsha inashikamana kama ugali ) na ule mchuzi wake mzito
MAHITAJI YA MCHUZI...
Tafadhali wana jamvi,mwenye kujua namna ya kupoka chakula cha utumbo chukuchukuku na chapati za maji anisaidie,Nimetumia neno chukuchuku nikiwa na maana (isiwe na mafuta wala maviungo viungo mengi)
Ndugu zangu mimi ni mpishi ninaependa kupika na pia kula vyakula vilivyoandaliwa kwa afya nimesoma na kuona kuwa matumizi ya viungo kama hamira baking powder na bicarbonate soda na vanilla na...
Naomba maelezo ya kutengeneza zile chapati za kufungia sambusa,
Ni kwamba hiyo kitu nilikuwa nikijua siku nyingi zilizopita nikiwa bado kijana enzi hizo nipo hapo Pwani ya Tanzania, kwa sasa...
Makaroni nichakula jamii ya Tambi,ni moja kati ya vyakula ambavyo napenda kupika siku za jumapili ninapokwepa kukaa jikoni kwa muda mrefu.
makaroni ya nyanya na nazi
Mahitaji
Makaroni mfuko 1...
Watu wa Dar karibuni.
Ukipata Hii Kitu roho inafurahia sana.
Likizo Yangu Yote naitumia kula chakula cha asilia Nikirudi Huko Nido nianze kukimbizana na supu ya pweza, mahidni ya kuchoma yenye...
Za kazi wakuu.
Napenda sana vyakula vitamu ila sijui kupika.
Leo nataka nianza na chapatti flani amazing, Hizi chapatti zinakua ni laini, nene, zina rangi nzuri ya brown kutokana na zimepikwa...
Wanajamvi kama kichwa kinavyojieleza naomba kujua vipimo Kwa ajili ya cake ya biashara nikimaanisha cake za kuuza madukani, super markets na kathalika.
Na nini niweke ili iweze kaa MDA mrefu bila...
Maandalizi; dakika 15
Muda wa kumarinate; dakika 15
Muda wa kupika; dakika 8
Muda jumla; dakika 38
Mahitaji
Kupata uhakika na kutumia viungo sahihi, endapo jina la kiungo limewekewa mstari, bofya...
Hello ladies and gents
Natafuta mpishi wa bites kama sambusa,vitumbua,andazi na chapati na vinginenvyo. Kazi ipo dar es salam,kama kuna mtu yupo tayari ama kunna mtu unamfaham tuwasiliane. +255736...
Mapishi ya Samaki Wabichi Chukuchuku
Samaki wabishi wawili
Kitunguu saumu kimoja
Kitunguu maji kimoja
Nyanya mbili kubwa
Tangawizi kidogo
Ndimu mbili
Pilipili ndefu (nyekundu) moja
Chumvi half...
Leo jikoni tunaangalia mapishi ya mchemsho wa samaki. Mchemsho huu ni kwa ajili ya watu wawili.
Mahitaji
. Samaki wakubwa kiasi 2 (Hapa natumia changu)
. Viazi mviringo 5
. Bamia, karoti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.