Mamboo wapenzi wa mahanjam, mambo matam matam ya jikoni, mambo ya chakula kizuuuri chenye ladha isiyo chosha... Asalam Alaykhum.
Leo nataka tujifunze mboga hii jinsi ya kuitengeneza na kuipika...
Wale wataalam wa kupika naomba mnupe shule ya kupika makange ya kuku wa kienyeji.
Leo natamani nijipikie msosi mtam mwenyewe nyumbani, natamani iwe makange au kitu kingine kizuri.
Naombeni namna...
Maandalizi; dakika 5
Muda wa kupika; dakika 10
Muda jumla; dakika 15
Mahitaji
1. Ndizi mzuzu tatu kubwa
2. Vijiko 4 vya chakula chenga za mkate
3. Mafuta ya kutosha ya kukaangia
4. Chumvi au...
Chemsha yai
Likiiva limenye
Likate vipande vidogo vidogo
Changanya na mayonnaise
Oka mkate na upake mchanganyiko wa yai juu yake
Unaweza kutengeneza sandwich 🥪 ya kuendea kazini au picnic.
Hii ni AIR INDIA flight from Mumbai To London, kama unavyoona hapo msosi unajumuisha kitu cha SEMBE. Ngoja nikate ticket ya ATCL nikaone kama kuna hii kiyu.
Ni kaka wa ndizi, hupikwa zikiwa mbichi au zimeiva.
Zina kiwango cha potassium mara mbili zaidi ya ndizi za kawaida
Jinsi ya kupika mzuzu wa nazi
Mahitaji
Ndizi 6
Nazi
Iliki
Safron
Unga wa...
Habari zenu,
Wengi wetu tukimenya vitunguu maji na kuvikatakata mara nyingi tunatoa machozi.
Sasa chukua kikombe au bakuli tia chumvi na maji halafu weka pembeni huku ukikatakata vitunguu vyako...
Sometimes tunajikosesha lishe kwa kuogopa watu watatuonaje. Nimegundua kuwa wengi bado tunapenda vyakula tulivyopenda utotoni sema kujivunga na kukimbilia mijunk.
1.Usione aibu kununua vibama...
Wataalam wa mapishi naomba mnielekeze mbona nikila sehem za watu vyakula vyao vinanukia na vina ladha safi,,au unakuta unapita sehemu unasikia mtu anaunga mboga inanukia balaa mpaka hamu ya kula...
Mapishi – Ndizi Mshare na Nyama
Mapishi yetu ya leo yatakuwa ni ndizi mshare (wengi wanapenda kuziita ndizi moshi) na nyama ya ng'ombe.
Mahitaji
· Ndizi Mshare mbichi 16
·...
MAHITAJI
( Chakula hiki kinatosha watu 3 hadi 5 )
600 gram mchele wa basmati basmati
1 Kuku mzima ( toa ngozi na kata vipande vikubwa kama kwenye picha)
6 Vitunguu umbo la kati
15 Gram kitunguu...
Habari wana JF,
Karibuni tujuzane futari unayopenda kula mwezi huu wa Ramadhani.
Kwa upande wangu napenda sana tambi na maharage alafu na mchuzi wa samaki.
Mchanganuo wa jinsi ya kupika vitumbua
Vitumbua ni aina ya vitafunwa vya chai ambavyo hutengenezwa kwa kutumia unga wa mchele,nyama,samaki,tambi,mtama nk.
Kiasili vitumbua ni chakula ambacho...
..,.........habarini wadau,,,,,,,
Naimana kuna mahali ushawahi kupita ukasikia wali unanukia vizuri sana(achana na harufu ya wali wa msituni [emoji23] )
[emoji626] hakikisha pale unapopika wali...
Habari zenu wakuu,
Kama kichwa cha habari hili ndo chimbo linalosumbua mjini kwa wastaarabu.
Wafanyakazi wa hapa wanavaa kwa heshima na ni wachangamfu.
Pametulia hakuna makelele sana.
Kuna nyama...
Maharage meusi ni chakula maarufu huko Latin America. Niliyaona dukani na kuyanunua. Baada ya kuyachemsha nilikuta mafuta yametanda juu.
Yana virutubisho vingi ikiwa ni calories, iron...