Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 46,918
- 122,182
Habari za muda huu wana JF.
Awali ya yote napenda kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunijalia afya njema hadi muda huu.
Napenda kutoa pole kwa ndugu, jamaa na marafiki walioondokewa na wapendwa wao huko Morogoro mapema asubuhi ya leo.
Wapo wengi ambao ni mabachela kama mimi walipenda wapike chakula kizuri cha usiku(Dinner) kama Mwifwa, ila kwa mapenzi yake Muumba wao hajawajalia kufika muda huu wakiwa na pumzi zao kam sisi. MUUMBA WAPOKEE WAJA WAKO NA UWASITIRI KATIKA SEHEMU SALAMA WANAZOSTAHIKI. na UWAJALIE MAJERUHI WOTE WAWEZE KUPONA HARAKA
Naama sasa nije kwenye mada. Huu ni mtiririko wa upishi wa mboga zangu aina ya samaki kwa ajili ya chakula cha usiku siku ya leo.
Mahitaji:
-Nyanya
-Karoti
-Pilipili hoho
-Vitunguu
-Mafuta ya Alizeti
-Chumvi
-Samaki waliokaangwa
1.Hapa ni mkusanyiko wa materials yote tayari kwa kuyaosha.
Awali ya yote napenda kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunijalia afya njema hadi muda huu.
Napenda kutoa pole kwa ndugu, jamaa na marafiki walioondokewa na wapendwa wao huko Morogoro mapema asubuhi ya leo.
Wapo wengi ambao ni mabachela kama mimi walipenda wapike chakula kizuri cha usiku(Dinner) kama Mwifwa, ila kwa mapenzi yake Muumba wao hajawajalia kufika muda huu wakiwa na pumzi zao kam sisi. MUUMBA WAPOKEE WAJA WAKO NA UWASITIRI KATIKA SEHEMU SALAMA WANAZOSTAHIKI. na UWAJALIE MAJERUHI WOTE WAWEZE KUPONA HARAKA
Naama sasa nije kwenye mada. Huu ni mtiririko wa upishi wa mboga zangu aina ya samaki kwa ajili ya chakula cha usiku siku ya leo.
Mahitaji:
-Nyanya
-Karoti
-Pilipili hoho
-Vitunguu
-Mafuta ya Alizeti
-Chumvi
-Samaki waliokaangwa
1.Hapa ni mkusanyiko wa materials yote tayari kwa kuyaosha.