MBITIYAZA
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 14,950
- 26,050
hello wapenzi mnaopenda kula vizuri
Leo nataman tushee hili tunda la stafeli !ni tunda pendwa na adimu kias chake !tumezoea kutengeneza juice za maembe,nanasi,parachichi
hebu leo tutengeneze juice ya tunda la stafeli
.....Andaa sfateli lako lililoiva vizuri utoe mbegu zote
.....saga juice yako weka sukari ya kawaida
.....kama una uwezo tupia na maziwa fresh humo usagie
......tupia na vi strawberry kias kuongeza mvuto wa rangi na ladha(inakuwa na rangi nzuri sana )
hifadhi kwenye friji au tupia na vicubes vya ice unapoinywa !waweza inywea na chapat ya nyama ya kusaga safi mnooo !
Leo nataman tushee hili tunda la stafeli !ni tunda pendwa na adimu kias chake !tumezoea kutengeneza juice za maembe,nanasi,parachichi
hebu leo tutengeneze juice ya tunda la stafeli
.....Andaa sfateli lako lililoiva vizuri utoe mbegu zote
.....saga juice yako weka sukari ya kawaida
.....kama una uwezo tupia na maziwa fresh humo usagie
......tupia na vi strawberry kias kuongeza mvuto wa rangi na ladha(inakuwa na rangi nzuri sana )
hifadhi kwenye friji au tupia na vicubes vya ice unapoinywa !waweza inywea na chapat ya nyama ya kusaga safi mnooo !