Jamani mwenzenu nina jiko nimenunua la kuchomea nyama, lakini kila nikichoma mishkaki haina ladha na ni migumu,wenye utaalam juu ya hili nisaidieni please.
Habarini... naomba kufahamu jinsi ya kutengeza yorghut kwa yeyote mwenye uzoefu nayo....asante.
------
Wengine kiingereza hatujui mkuu. Yoghurt ndio mtindi?
Kama ndio basi fanya hivi...
Andaa...
Mahitaji (Kutumiwa na watu wa 4)
・Mapaja 2 ya kuku (gramu 500)
・1/2 kijiko kidogo cha chumvi (gramu 2.5)
・Pilipili manga kwa ajili ya kutia ladha
・Vijiko vikubwa 2 vya sosi ya soya (mililita 30)...
Mahitaji:
Vitunguu swaumu kadri uwezavyo
Tangawizi kadri uwezavyo
Asali mbichi kwa ajili ya ladha.
Andaa viungo vyako (vitunguu na tangawizi), weka kwenye blender na maji ya kutosha. Saga hadi...
Mwili wa binadamu huzalisha sumu kulingana vyakula tunavyokula hii ni njia moja wapo kuondosha sumu kwa haraka sana.
MAHITAJI
Majani ya Kale (kale leaves) - 3
Brokoli pamoja na miche yake - ½...
Habari Tanzania !
Sasa ile vita ya mfugaji na mkulima mwisho kabisa. Sitegemei kuona tena vita hii hapa Tanzania.
Mahitaji
a) Karanga mbichi kikombe 1 na 1/2.
b) Sufuria na chujio kubwa
c) Jiko...
Habari wana JF,
Hapa nilipo kuna kibaridiii... Nimejipongeza kwa kunywa chai ya maziwa ya viungo. Nimeona sio mbaya nikishare hii ladha ambayo naona ni nzuri sana hasa pale ukiipatia.
Kuna...
Habari wapendwa,ni matumaini yangu mu wazima wa afya njema.Leo nataka niwaelekeze kupika mboga ya majani ya maboga kiurahisi na matamu sana,japo najua kila MTU ana style yake ya kuyapika...
Watu wa pwani hii kitu tunapendaga sana mapishi pia hutofautiana leo nenda fresh food nunua pweza alafu pika kama hivi hutojutia..
MAHITAJI
Pweza - 1 Kilo
Mafuta - ½ kikombe
Chumvi - 1 kijiko...
Hiki ni chakula cha asili ambacho kinaliwa kwenye jamii zetu..
Mahitaji
•Unga wa muhogo.
Jinsi ya kupika.
•Bandika sufuria yenye maji jikoni(kulingana na maitaji)
•Subiri mpaka maji yawe...
Jamani kuna hivi vitu vinafanana na sukari ni nyeupe sanaa. Nimeshaona aina tatu sasa tofauti ni ladha zake..
Ya kwanza ina ladha ya utamu kama sukari na ninaambiwa inatumika kwenye juice au...
Wadau wengine ambao wanahitaji kujua kuhusu matumizi ya rice cooker
Natumai wazima ndugu zangu,naomba mnielekeze namna ya kutumia rice coocker.
----
Hivi pilau waweza pika kwenye rice cooker...
Habari zenu.
Unaweza kupika chakula kizuri tu na kuzingatia kila hatua ila kisiwe na ladha tamu zaidi au kiwe kimepooza.
Tumia pilipili manga iliotwanga dakika 10 kabla ya kuepua chakula chako...
Mimi binafsi naona mapishi ya aina hiyo hayafai kwakuwa radha ya Tangawizi si nzuri kwa vyakula ila vinywaji mara mia nitumie kitunguu swaumu kwenye mapishi ya mboga.
Vipi wadau wa Chefs...
Mimi napenda sana nyama hasa iwe ya ng'ombe, mbuzi kuku, samaki, kima. Ilimradi nyama tu iwe tamu na siwezi kuichoka.
Mfano nyama ya ng'ombe nitakunywa supu asubuhi mchana na ugali au wali na...
Helow wakuu
Msaada,,nataka kujua namna ya kufanya vitafunwa vikae bila kuharibika kwa muda mrefu,vitafunwa kama maandazi ,,mfano kama yanayouzwa supermarket,,yanawekwa nini ili yasiharibike...
Mambo zenu wakuu leo nitafundisha jinsi ya kupika ugali.
Fuata Steps Hizi
MAHITAJI
Maji,unga wa sembe/Dona + Sufuria,Ubanio,Mwiko na jiko la aina yoyote mkaa au umeme au gesi..
Step 1
Sikia...