AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,077
Habari wana JF,
Hapa nilipo kuna kibaridiii... Nimejipongeza kwa kunywa chai ya maziwa ya viungo. Nimeona sio mbaya nikishare hii ladha ambayo naona ni nzuri sana hasa pale ukiipatia.
Kuna baadhi kupika chai ya maziwa ya viungo inawashinda ingawa wanapenda. Yaani akiweka viungo anashangaa kuwa ile chai inaharibika kwa maziwa yale kuganda (hujitenga maji na maziwa kana kamba yamegandishwa) hasa ukitumia kiungo cha tangawizi.
Personally napenda sana chai ya tangawizi, huwa naona ni tamu hasa ukiweka na viungo vingine ukavichanganya kwa uwiano sahihi...
Vipimo:
Maziwa litre moja
Maji robo litre (hata chini ya robo litre ni bora zaid, maji kidogo tu)
Kijiko kimoja kidogo cha Iriki
Kijiko kimoja kidogo cha karafuu
Vipande vya size ya kati vya abdallahsin
Kipande kidogo cha tangawizi mithili ya nusu kidole kidogo cha mkono.
Process:
Hapo chai yako tayari kwa kunywewa...
Pamoja Saana,
AshaDii.
Hapa nilipo kuna kibaridiii... Nimejipongeza kwa kunywa chai ya maziwa ya viungo. Nimeona sio mbaya nikishare hii ladha ambayo naona ni nzuri sana hasa pale ukiipatia.
Kuna baadhi kupika chai ya maziwa ya viungo inawashinda ingawa wanapenda. Yaani akiweka viungo anashangaa kuwa ile chai inaharibika kwa maziwa yale kuganda (hujitenga maji na maziwa kana kamba yamegandishwa) hasa ukitumia kiungo cha tangawizi.
Personally napenda sana chai ya tangawizi, huwa naona ni tamu hasa ukiweka na viungo vingine ukavichanganya kwa uwiano sahihi...
Vipimo:
Maziwa litre moja
Maji robo litre (hata chini ya robo litre ni bora zaid, maji kidogo tu)
Kijiko kimoja kidogo cha Iriki
Kijiko kimoja kidogo cha karafuu
Vipande vya size ya kati vya abdallahsin
Kipande kidogo cha tangawizi mithili ya nusu kidole kidogo cha mkono.
Process:
- Hakikisha chombo chako ni kisafi na weka maji robo litre na utenge motoni.
- Ikianza kupata joto weka viungo vyote kwa pamoja ukiwa umehakikisha umesaga/twanga tangawizi bila kusahau majani ya chai kijiko kidogo kisijae sana.
- Maji yakichemka weka sukari vijiko vikubwa vya chakula kama 6.
- Huo mchanganyiko ukichemka vema mimina maziwa yako litre moja subiri yachemke baada ya hapo chai yako tayari kwa kunywewa.
Hapo chai yako tayari kwa kunywewa...
Pamoja Saana,
AshaDii.