Kwa comment hii lazima mtoa mada atabadili mawazoUkiwa una utaratibu wa kuweka tangawizi ama kitunguu saumu katika moja ya chakula chako kwa kila siku upungufu wa nguvu za kiume pamoja na magonjwa mengine utaskilizia kwa wengine. talk from experience!!
Kila siku asubuhi baada ya Mazoezi natafuna Tangawizi, Ni nzuri sana.Ukiwa una utaratibu wa kuweka tangawizi ama kitunguu saumu katika moja ya chakula chako kwa kila siku upungufu wa nguvu za kiume pamoja na magonjwa mengine utaskilizia kwa wengine. talk from experience!!