Huu utandawazi nao umekuja kufanya watu wanakuwa malimbukeni..
Unakutana na Mwanamke siku ya kwanza (kwa kawaida huwa wanapretend sana na kujifanya watakatifu) Anaongea viswahili viwili na...
KARIBU NGOMANI
Manju utamu wa ngoma, ingia ndani ucheze
Kuicheza ukigoma, siyo marimba ukaze
Ngoma siyo homa homa, mdundo tusiuwaze
Karibu tena ngomani, uone hali halisi.
Wale walojua ngoma...
Hisabati na Tarakimu
Msamiati wa hesabu/hisabati unaangazia: majina mbalimbali ya tarakimu/nambari; kuandika tarakimu kwa herufi.maneno; tarakimu za kiarabu; akisami (fractions) na asilimia...
Msamiati wa Nyakati na Saa
NYAKATI NA SAA
Kitengo
Msamiati
MASOMO
Prev
Vitate, Vitawe, Visawe
Next
Msamiati wa Majina ya Ukoo
Siku za Juma
Juma au wiki moja huwa na siku saba...
Habari zenu Waungwana!
Ni imani ya moyo, akili, falsafa ziloshiba mantiki ya hapa na kule ya kwamba wengi kati yenu ni Wanalugha.
Hebu nisaidieni ni lipi neno sahihi kati ya haya mawili?
#"S"...
Elimu yangu ni form four niliyoipata Shule ya Jumuiya Tanga (Shule ya Jumuiya ya wazazi) na kufaulu daraja la tatu points 23 mwaka 1993. Tokea hapo nimefanya kazi na wazungu mpaka nikafikia level...
*All your answer should start with "W" only*
Try to solve like example 1,2,3👍👍
1. We all drink ...Water
2. A colour .... White
3. A dry fruit....Walnut
4. A direction...
5. Marriage...
6...
nimepitia kamusi mbili tofauti moja ni ya TUKI iliyo chapwa na Oxford latest version ambayo inasema ngeli ya maiti ni I-ZI lkn pia nimepitia kamusi ya Longhorn inayosema ngeli ya maiti ni A-WA...
Ukisoma mitandao mingi ya kijamii watu siku hizi wana kamsemo ka kumalizia hoja zao. Utakuta mtu anatiririka hoja zake wee mwisho anafunga kwa; Tulikosea mahali 2015. Wanamaanisha nini?
Wasalaam,
Wataalam wa Ligha nawahitaji hapa!
Kwa Kiswahili sijui ndo Ingawa, Pamoja na, Hata kama,Ijapokuwa. Je, ipi ni ipi?
Yaani hizo Inspite na Despite zina maana gani kwa Kiswahili na ipi...
NGOMA YAANZA KUDUNDA
Alisema hii ngoma, hii ngoma ya zamani
Ngoma isiyo na noma, akatupa tumaini
Ngoma ya watoto jama, wakubwa mcheze nini
Ngoma yaanza kudunda, manju huyo kajificha.
Wajanja...
Wasalaam, Binafsi nilikuwa nimetazamia kujifunza lugha nyingine ya kimataifa, ambayo ni kihispaniola (Spanish,Español). Baada ya kujifunza mwenyewe takriban kwa mwezi mmoja hivi (source: You tube...
Ask me anything about English or Swahili. I am a holder of a Bachelor Degree of Education i Languages & Management fro Mzumbe.
Karibuni tujifunze Kiswahili Au English
Hii ni habari yako...
Siku moja alisimulia kitabu cha How European Underdevelop Africa cha W. Rodney.
Ila siku anakufa watu walilewa kama vile Mjomba ulikua mlevi fala sana.
Mjomba alikua mtu...
Salam,
Lugha hii ya kichagga (vunjo) ni katika daraja la mwanzo (elementary level). Hongera kwa waandishi. Lengo ni kusambaza ujuzi tu.
Nyie wanyiramba kumbe ni watu wa kutoka Sudan??
Stay...
‘Parliament’ ni neno la kiingereza linalomaanisha bunge, Lakini pia, kundi la bundi kwa kiingereza huitwa ‘parliament of owls’
‘School’ ni neno linalomaanisha shule, lakini pia kundi la samaki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.