Adolph Leonard
Member
- Oct 14, 2011
- 49
- 44
Wadau Habari za jumapili,
Kwa miaka mingi sana huu msemo "Ulimi hauna mfupa" umekuwa ukitumika hususani pale mtu anapoteleza kuzungumza jambo, nimekuwa nikijiuliza aliyetunga msemo huu alikuwa anakusudia nini na endapo ulimi ungekuwa na mfupa; je, watu wasingekosea matamshi?
Wataalamu mnaweza kusaidia hili ili pia iwe fundisho kwa vizazi vijavyo.
Shukrani
Kwa miaka mingi sana huu msemo "Ulimi hauna mfupa" umekuwa ukitumika hususani pale mtu anapoteleza kuzungumza jambo, nimekuwa nikijiuliza aliyetunga msemo huu alikuwa anakusudia nini na endapo ulimi ungekuwa na mfupa; je, watu wasingekosea matamshi?
Wataalamu mnaweza kusaidia hili ili pia iwe fundisho kwa vizazi vijavyo.
Shukrani