Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
C&P UTAFITI Kwa mujiub wa utatiif liuofanywa na Prfo. Hassain Klilo wa chou kiuuk cha Dodoam, haukna haaj ya kuwa na mpaiinglo kweney heruif katiak maneon. Cha mhuimu ni kuaw na mpaiinglo kweney...
3 Reactions
13 Replies
2K Views
Nimegundua kati ya maelfu ya maneno ya Lugha ya Kiswahili kuna neno moja tu la ilabu tupu nalo ni UA, kwa kumbushia tu, ilabu ni a, e, I, o, u. Na herufi zote zilizobaki ni konsonati, na ili neno...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
TPB kirefu chake ni "Tanzania Postal Bank" kama sikosei. Sasa TPB Bank maana yake ni Tanzania Postal Bank Bank? Ni sawa na mtu anayesema "daraja la Selander bridge" anakuwa ametamka "daraja na...
12 Reactions
221 Replies
27K Views
Kama kichwa cha habari naombeni maana ya haya maneno kwa kiswahili (mwaimuksyo okwo nogendelelaota waikizem) [emoji120]
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu msaada please, nini maana ya hii methali "Jitihada haiondoi kudura"
0 Reactions
3 Replies
13K Views
Wakuu, Nilijifunza Kifaransa na nikawa mzuri mno, ila kwa sasa nimesahau karibu mambo mengi mno tatizo likiwa ufinyu wa wazungumzaji hivyo nikashindwa kukuza lugha. Tuliowahi kujifunza hii...
8 Reactions
294 Replies
24K Views
Je neno BONGO NYOSSO asili yake ni nini? na je lina uhusiano wowote na yule mchezaji SIMBA na KAGERA JUMA NYOSSO
1 Reactions
5 Replies
7K Views
Naomba kufahamu jinsi ya kutumia maneno yafuatayo: - pesa - hela Mf: Alimpa pesa au alimpa hela - ndivo ilivo au ndivyo ilivyo. Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
90 Replies
18K Views
Wakubwa na wadogo naomba kujua maana ya neno ardhio. TBC wenyewe hawakutoa tafsiri
1 Reactions
18 Replies
7K Views
Lekangishi ukwikala mutuhaya tulimbasha mangosha nimbule umbise tutamuyomba ishitwa shimo mbangosha Moye mbangosha ukuimilela makabila kila siku yambizile masukum nduhu ambakuhoyelwa umu...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Nimekuwa nikimsikia mara kwa mara mmoja wa Mwana redio anayeitwa au kujiita Mbwiga, huyu bwana amekuwa na misemo tofauti tofauti kila anapopata nafasi ya kuzungumza redioni. Na mingi ya hiyo...
4 Reactions
8 Replies
3K Views
Kitu ambacho nakifuruhia ninaposikiliza maneno/hotuba za wanasiasa hapa nchini ni matumizi yao ya lugha hasa pale wanapounda maneno mapya na tungo/virai ambazo zinasimama kama utambulisho wao...
3 Reactions
15 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu Kati ya hizi lugha tatu Kiarabu , kingereza na kihispaniola Ni lugha ipi inatumiwa na watu wengi duniani?
3 Reactions
211 Replies
19K Views
Habari zenu. Ukiachana na neno KIFO na USINGIZI FOFOFO, je ni neno gani lingine la kiswahili linaloishia na irabu FO? Kwa yeyote anayefahamu tafadhali.
2 Reactions
17 Replies
18K Views
TUNGO HURU SI SHAIRI Msiojua kutunga, leo nawapa salamu Tungo mnazozitunga, siyo tungo mfahamu Mnapaswa kujipanga, na mtunge kwa nidhamu Leo naimwaga mboga, tungo huru si shairi. Mashairi bila...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Duniani kuna lugha mbalimbali zinzotumika kama mawasikiano,swali langu je ni lugha ipi ni ngumu kujifunza, kuielewa au hata kutamka tuanzie hapa east africa....lakini kama una ufaham zaidi...
0 Reactions
52 Replies
12K Views
Kuna tangazo mnalolirusha mara kwa mara, katika tangazo hilo inasikika sauti inayoisifia utendajikazi redio yenu, binafsi hata mimi ni msikilizaji wa redio yenu. Ila kwenye hilo tangazo...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
```UBUKUMI NI IKI? Ubukumi ni igihe c’agaciro kanini mu buzima bw’umukobwa, ariko umukobwa atihaye agaciro mugihe c’ubukumi bwiwe agereranywa n’akazu ka sugumwe rusangi kuko uwo ari we wese afise...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Naomba mwenye kufahamu kiswahili ni lugha ngapi kwa ukubwa wa wazungumzaji duniani. Je, kwenye lugha 10 ipo? Naomba source ya kuaminika (ranking) Maana mkuu katika hotuba yake fulani inayorudiwa...
1 Reactions
5 Replies
11K Views
Heshima kwenu, 1: Wale kuku unaokuta hawana manyoya shingoni (necked neck) 2: Wale kuku ambo unaona kama manyoya yao yako upside down
0 Reactions
6 Replies
25K Views
Back
Top Bottom