GOLDENSTONE
Member
- May 15, 2015
- 35
- 33
Mwenye Kamusi Ya Lugha Ya Kisukuma au Kinyamwezi naomba anitumie Yenye Kufundisha Lugha vizuri na Maana yake Wabheja
Mimi ninazo kamusi tatu za Kisukuma Kiingereza lakini nijuavyo huwezi kutumia kamusi kujifunzia lugha. Kamusi dhima yake kuu ni kukutajirisha tu upande wa msamiati (maneno) lakini sidhani kama kuna kamusi inayoweza kukuelezea muundo wa lugha kuanzia Fonolojia, Mofolojia, Sintaksia na vipengele vingine japo inaweza kuwa na vidokezo pale mwanzoni kwenye utangulizi.Mwenye Kamusi Ya Lugha Ya Kisukuma Or Kinyamwezi Anitumie Yenye Kufundisha Lugha Vzri Na Maana Yake Wabheja