Neno "Mjuba" lina maana gani?

Neno "Mjuba" lina maana gani?

Wakuu naomba kujua maana ya maneno 'mjuba' pamoja na 'kudesa' maana nimeona yakitumiwa na vijana sana.
Wajuaji. Ndio wajuba
Screenshot_2020-02-12-19-24-18-63.jpeg


Sent from my A1601 using JamiiForums mobile app
 
Mjuba.....a.k.a mutoto wa mujini asiyeshindwa na lolote a.k.a mbishi, ingawa kuna wakati wanadunda.

Siku hizi hakuna wajuba/mjuba....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom