Mngurimi JF-Expert Member May 27, 2020 819 789 May 28, 2020 #1 Ni maneno gani katika lugha ya Kiswahili ambayo ukiyasoma kutoka mwisho kwenda mwanzo yanakuwa na maana ileile kwa mfano, neno UVIVU. Karibuni..
Ni maneno gani katika lugha ya Kiswahili ambayo ukiyasoma kutoka mwisho kwenda mwanzo yanakuwa na maana ileile kwa mfano, neno UVIVU. Karibuni..
Mshana Jr Platinum Member Aug 19, 2012 269,633 697,793 May 28, 2020 #2 Nini Mimi Wewe Yeye Sisi Wowowo Kolo kolo Jr
Mngurimi JF-Expert Member May 27, 2020 819 789 May 28, 2020 Thread starter #3 Sawa kabisa japo napata walakini kwenye neno "wowowo" kama ni Kiswahili kilichosanifiwa.
Depal JF-Expert Member Nov 26, 2018 47,136 188,319 May 28, 2020 #6 Vile vile Wale wale Pilipili Barabara Nk
Mngurimi JF-Expert Member May 27, 2020 819 789 May 28, 2020 Thread starter #7 Bujibuji said: Kuku, toto Click to expand... Sawa
Mngurimi JF-Expert Member May 27, 2020 819 789 May 28, 2020 Thread starter #9 KIBWENZI said: KISIKI TIKITI Click to expand... Safi