Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Hivi kuna utofauti mkubwa baina ya haya maneno? Je, nikiwaza ninaweza kuwa nimefikiri?
1 Reactions
3 Replies
7K Views
VITABU NILIVYOSOMA MWAKA 2019 1.Wisdom 2019 by Elija Mwape 2.Rosa mistika by E. Kezilahabi 3.Uamuzi wa busara 4.Ubunifu na kujiongeza by Dr Eliamani Laltaika 5.Historia ya wanyiramba by John Kito...
2 Reactions
15 Replies
3K Views
1: Kuna kitu Kama mvuke hivi au gesi kinachotoka unapokuwa unamenya chungwa chenza au limao au Hata ukikata kitunguu, kwa Kiswahili kinaitwaje? 2: Naujua upupu ni mmea ambao unawasha sana, lakini...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
1. Asosikia la Mkuu huvunjika guu 2. Ujanja mwingi mbele kiza 3. Mkataa pema pabaya pana mwita 4. Asiyefunzwa na ***** hufunzwa na ulimengu 5. Mtaka nyingi nasaba hupata mwingi MSIBA 6...
3 Reactions
4 Replies
1K Views
Naomba kujua tofauti kati ya managing director(MD) na director general(DG) pamoja na Chief executive officer ( CEO) ..... natanguliza shukran..... Its not over until its over...[emoji769]
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Imeripuka tufana, kuvunja za watu chemba WUHAN nchini CHINA, kumi natisa DISEMBA Si nyingine ni Korona, ndo hii imetukumba Dunia ni taharuki, watu wanateketea Tulisema ni wachina, itaishia ilipo...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Nimekaa nimewaza, kuliko kukaa bure hiki kipindi cha Corona, its better hata nijifunze lugha mbili au tatu za Kimataifa. Lugha ya kwanza iliyokuja kichwani ni Deutsch (Gernam). Na nimeshaanza...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakuu habari, Nahitaji mtu aliye serious kwa ajili ya kufanya tafsiri kurasa 37. Pages nyingi zinajirudia, roughly hazizidi pages 20. Nahitaji mtu serious tu. Malipo si haba.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
JF, Nyumba ya Mfalme inaitwaje? Tumezoea kuita Ikulu je ni sahihi?
1 Reactions
16 Replies
20K Views
Habari za humu wadau, nahitaji msaada kwa yeyote mwenye kufahamu vyema lugha ya Kingoreme nahitaji kusaidiwa jambo dogo tafadhali. Kama unafahamu lugha hii naomba msaada, lugha hii huzungumzwa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hivi mtu aliyekunywa pombe na aliyekunywakunywa pombe, nani kanywa zaidi?
0 Reactions
5 Replies
7K Views
Nimekuwa nikifuatilia uandishi wa Waandishi mbalimbali wa Habari na watumiaji wa mitandao hii ya kijamii. Kumekuwa na uandishi mbovu wa lugha ya kiswahili lakini Baraza lipo kimya bila kukemea...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
SHAIRI :: MAKINIKA UTAPATA JIBU KWA DR SAUL KALIVUBHA ( nitapataje mkamilifu) 1 Yakaribie maziwa, nasaha nitazikupa Na mikono yako nawa, wala usiwe na pupa Uwaweza kuchaguwa, ila uwapata dupa...
2 Reactions
7 Replies
949 Views
Nimekuwa nikizunguka sehemu tofauti tofauti. Nikaja kugundua kitu kibaya mno hivi sisi Watanzania au watu weusi ni specimen au tupo laboratory tunafanyiwa uchunguzi maana our id, imekuwa ikifanya...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
1.Japo wengine walalama,Huku wengine wasifu, Serikali imesimama,Japo si takatifu, Maendeleo kuleta,Sio kazi ya kubeza, Serikali ya wanyonge,Wanyonge waneemeka?! 2.Madudedude twaona,Twasema...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Ubeti wa kwanza: Ni corona inapita, hata ukunje zo ndita, Hakuna alo-iita, labda ni wewe pita, Na uchumi wazorota, wapi pesa nitapata. Nilichobakiwa nacho, barakoa mdomoni. Ubeti wa pili...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hodi humu. Juzi nilikuwa kwenye dala dala, na ilikuwa imejaa sana. Bahati mbaya mkaka mmoja alimkanyaga mdada kwa bahati mbaya. Yule mdada akaja juu kweli, lakini yule mkaka akajishusha akaseme na...
0 Reactions
5 Replies
9K Views
Kuna wadada wakawaida..ila utawatamani. Ukiwatazama unashiba..unajiona wathamani. Ni nzuri yao haiba..hawataki tafrani. Maneno yao ni tiba..yanatupa ahueni. Mapenzi yakuiba..hawayataki asilani...
3 Reactions
12 Replies
2K Views
Helloo wataalam wa lugha ya kisukuma naomba mnitafsirie maneno haya kwa kisukuma. "Mungu akupe maisha marefu mke wangu mpenzi" Cc: J P Magufuli
1 Reactions
8 Replies
5K Views
Kama kichwa cha uzi kinavyoeleza hapo juu, ninahitaji kujua matumizi hasa ya -to- na -ta- . Je ni sahihi kutumia maneno mfano "Kama hutojali" badala ya "Kama hutajali" au "Sitosahau" badala ya...
4 Reactions
12 Replies
3K Views
Back
Top Bottom