Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
MOYO MPWEKE Ni mti uso tunda, vivyo hivyo moyo pweke, Unabakia kukonda, kulikosa tunda lake, Tena huo umepinda, wangojea siku yake, Moyo ule usopenda, huo ndio moyo pweke!! Ndege asiye kiota...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wana jf nawaombeni Mnisaidie kunijuulisha kuhusu huu mji unaitwa bagamoyo au bwagamoyo? Nawaombe ni munisaidie lugha imenichanganya asanteni.
0 Reactions
4 Replies
3K Views
1. Unamwita mtu usiyemjua(wala kukutana nae kabla)aunt au uncle. 2. Asilimia 90 ya CD pamoja na cassete za muziki ulizonazo nyumbani ni feki (sio original...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mtu kwao anatunzwa, hata kama hana dini, Mtu kwao anatunzwa,ili apate thamani, Mtu kwao anatunzwa, mfanowe halingani, Nyerere kweli mwalimu, kwa mengi alotufunza Uongozi msimamo, bila kutaka...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Swali nawaulieni, Magwiji mnijibuni, Nimetingwa akilini, Jibu sijalibaini, Embe lisilo na kokwa, ni embe au kimbembe!?
0 Reactions
15 Replies
3K Views
MUHOGO MTAMU Tule muhogo jamani, chakula cha wananchi. Wala tusione soni, tafuna ilo mibichi. Ifuateni sokoni, hamsini tu jisachi. Chakula cha watu wote, yupi asema ukata. Wakulima jitumeni...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Wadau naomba maana ya neno Futara kwa kiingereza. Nimeambiwa ni tunda linaloongeza damu
0 Reactions
0 Replies
2K Views
'She sat in the restaurant,waiting anxiously. She was 16 years old,and she was waiting for a boy. His name was Yona. She and Yona had been classmates in primary school,and in pry 3,he'd been her...
0 Reactions
0 Replies
940 Views
Siku hiyo ya jumatano Nimelala zangu kitandani , nasikiliza love and dedication ni kipindi kimoja kinarudhwa na radio moja maarufu jijini dar es salaam , kama kawaid nikawa nasikia watu...
0 Reactions
0 Replies
8K Views
Confuse=kuchanganya. Hili neno bwana nimekutana na wa2 kadhaa wa afrika na nje (nnje) ya afrika wanalitamka [konfAs] mimi nimezoe kulitamka [konfYUZI] tangu sekondari. Which is which kwa wale...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
By. M. M. Mwanakijiji You walked away from me In anger and accusations Of things you never mentioned left me with tears on my face sobbing and crying like a baby you dumped me You walked to what...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
I'll tell you why I hate routine; Wake up in the morning get the kids ready to school Hurry up to beat the traffic Get to work sleepy and cranky! Find an assignment that I was supposed to have...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
BELINDA WA MAISHA YANGU – SIMULIZI YA MAPENZI Pingu za maisha ni kitu cha furaha na cha kutamaniwa na Binadamu yoyote yule.Ni siku ya furaha sana na ina kumbukumbu nyingi sana katika maisha...
0 Reactions
3 Replies
6K Views
Ndugu Wanajamii, kuna ndugu zetu Wamarekani wenye Asili ya Afrika wanakuja Tanzania kutafuta mizizi (roots) yao katika programu ya African Diaspora Heritage Trail (ADHT) <...
0 Reactions
2 Replies
13K Views
mi ni mmoja wa watu ambao unaweza kuwaita big fans wa mwanakiji kwa upande wa mashairi,tatizo ni kwamba sijui ni wapi naweza kupata collection nzima ya mashairi ya mwanakijiji,kitabu hivi au blog...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nimekukumbukeni' si kweli nilikuacheni' yupi kakwambieni.? Usiku na mchana nipo mtaani' enh! Bado naungua tu juani' naye tulokuwa naye sinaye mkononi' majahili waminiweka shakani' mlango wangu...
0 Reactions
0 Replies
985 Views
Washikadau kwanza pokeeni salamu na shukrani nyingi kwa kutujuza yale tusiyo fahamu. Kuna hili neno ambalo na shangaa na kuchangyikiwa kila linapotumika. Neno lenyewe ni MAZINGIRA na Mazingara...
0 Reactions
7 Replies
17K Views
kilingeni naingia, ndimi mwana wazuoni utamu wakolea, wajaa mpaka kisogoni halua nimebwia, imeua hamu mtendeni tende nimeikacha, halua tu naitamani Itaendelea...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Chapter one! ____________________________________________________________ _____________________________________ Where am I? I don't recognize this place; an extravagant house in a...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
WanaJF, Naomba msaada katika matumizi sanifu ya maneno haya, haswa pale inapotokea nimeulizwa na mtu asiyejua Kiswahili. Mfano mtu akiniuliza katika Kiingereza tafsiri ya: 'Milk' in Swahili -...
0 Reactions
19 Replies
13K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…