Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Naona kwa sasa kila mtu " tegemezi" anajiita Chawa wa fulani Kwa mfano nimetoka pale Chato nimewakuta Chawa wa Mbunge na ni cheo rasmi mtu anajitambulisha Nimeshangaa Sana kwa sababu Chawa ni...
6 Reactions
19 Replies
1K Views
Onyesha,onesha,vyema,vema
0 Reactions
8 Replies
1K Views
KAMWAMBIE NAMPENDA.. Mwambie ninampenda, moyo umemchagua Ananifanya nakonda, naishi kwa kuugua Aje nimfanye kinda, moyo upate kutua Nakutuma kamwambie, vile ninavyompenda. Amenichanganya kweli...
1 Reactions
0 Replies
718 Views
NAJUTA KUMSOMESHA Najuta leo najuta Majuto ni mjukuu Mwenzenu yamenikuta Nimeshavunjika guu Wakubwa walinambia Masikio nikaziba. Hata ada nikalipa Chuoni kumpeleka Nikajiona kibopa Kidume...
3 Reactions
8 Replies
918 Views
Mfano una daftari la kurekodi stock inavyoingia kutoka stoo au ukinunua, na pia unarekodi stock ikitoka aidha kwa kuwauzia wateja ama kuibiwa. ni sawa kuandika "zilipotokea na zinapokwenda" ama...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Taifa letu pendwa mzimwini Taarifa zimetufikia zenyeujonzi Radio zimetutenga mafukara Rafiki wetu taarifa katuaga Viongozi wamegawanyika Vikumbo wapigana Samia kauza Bandari Samia hajauza Bandari...
5 Reactions
7 Replies
759 Views
Hii ni Aburani na ahadi Iliyowekwa Siku za Nyuma na Umoja wa Mataifa, Kuwa Kutakuwa na Siku Maalumu ya Kusheherekea Lugha ya Kiswahili Duniani Kila Mwaka. Hii ni Abra nzuri kwa sisi wazungumzao...
1 Reactions
0 Replies
895 Views
Gazeti La Dunia Matumizi sahihi ya lugha na upeo wa fikra Ahmed Rajab Ahmed Rajab Mwandishi wa makala haya, Ahmed Rajab, akizungumza kwenye Baraza la House of Lords jijini London Julai 5, 2023...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Katika matumizi ya simu tunakuta alama: * inatamkwa nyota. # inatamkwa alama ya reli. Kwanini * isitamkwe alama ya nyota sababu sio nyota kihalisia.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jiamini 1. Na popote ukiwepo Usiwe kama libopo Usijione simpo 2. Yalo yako ujikite Mitihani uipite Hadi ukate upete 3. Usisikie uzushi Uyafanye kwa utashi Usiwe na nukusani 4. Tembea nenda na...
1 Reactions
2 Replies
327 Views
BARUA YA WAZI 1 Nawasalimu kwa jina, jinale la jamhuri Kwako wewe kamishina, uigongae mihuri Wasimamizi wa shina, msome pasi kiburi Hii barua ya wazi, kwenu nyinyi viongozi 2 Upapo mwingi uhaba...
2 Reactions
1 Replies
483 Views
Nawasalim nyote. Pokeeni Salam. Naona vyema tuwe na uzi mmoja maalum wa ngeli. Naomba usaidizi wa ngeli sahihi ya maneno haya. Kifaranga/Vifaranga - ( naona watu wengi hutumia ki-vi ambapo...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdullah amewataka Wahariri kushirikiana na mabaraza ya Kiswahili ya BAKITA na BAKIZA ili kuendeleza lugha ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Tangu nimerudi nchini nimekuwa nikipata tabu sana kutambua yupi anastahili shikamoo na yupi hastahili, kuna nalingana nao umri ila wana maumbo makubwa hivyo najikuta nikiwapa shikamoo na...
13 Reactions
180 Replies
9K Views
Matumizi sahihi ya maneno haya kwa kweli huwa yananitatiza sana? Huwa napata shida sana kujua ni wakati gani wa kutumia kwa mfano neno "Kwenye " au wa kutumia neno "Katika" kwenye kuongea au...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Waungwana naomba anayejua namna yakuzi master tones za kichina tafadhali
0 Reactions
3 Replies
866 Views
Napata utata hapa wakuu! Kwa wale wajuzi wa kiswahili..
1 Reactions
45 Replies
32K Views
TUNATAKA, HATUTAKI Tunataka uwekezaji, hatutaki uporwaji, Wao wachukue mji, tubaki watazamaji, Tunakemea ulaji, tunakataa upigaji...
0 Reactions
0 Replies
839 Views
Nini maana sahihi ya maneno haya Kwa ninavyofahamu mimi, Tovuti ni intaneti na wavuti ni website. Karibu utwambie unavyoelewa wewe. Ikumbukwe kuwa internet sio mtandao, mtandao ni network
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Back
Top Bottom