Zombie S2KIZZY
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 823
- 1,613
Hivi kwanini mtu akija huku Dar anapenda lafudhi ya kiswahili chetu?
Yaani unakuta mtu anaiga kabisa ule uongeaji sijui na yeye aonekane kazaliwa huku?
Sasa kibaya zaidi anavyoongea ni hovyo yaan unaona anajilazimisha na anakosea, hii kitu siipendi kichizi. Ndugu zetu mnaotoka mikoani acheni kulazimisha lafudhi ,kama lafudhi yako ni ya kisukuma, kikurya, kichaga, kimasai nk.
Wewe ongea sisi tunawaelewa na hatuwacheki maana mjini msingi pesa sio lafudhi, mbona wanangu wa ngarenaro wanaongea kwa lafudhi Yao alafu shega tu.
Huu mtazamo tu,
Sorry kwa niliowakera🙏
Yaani unakuta mtu anaiga kabisa ule uongeaji sijui na yeye aonekane kazaliwa huku?
Sasa kibaya zaidi anavyoongea ni hovyo yaan unaona anajilazimisha na anakosea, hii kitu siipendi kichizi. Ndugu zetu mnaotoka mikoani acheni kulazimisha lafudhi ,kama lafudhi yako ni ya kisukuma, kikurya, kichaga, kimasai nk.
Wewe ongea sisi tunawaelewa na hatuwacheki maana mjini msingi pesa sio lafudhi, mbona wanangu wa ngarenaro wanaongea kwa lafudhi Yao alafu shega tu.
Huu mtazamo tu,
Sorry kwa niliowakera🙏