Mbute na chai
JF-Expert Member
- Jul 21, 2012
- 526
- 525
Kwa anaye kielewa anijuze. Wakenya wanaharibu sana lugha yetu. Kurasa za mitandao ya kijamii ya bbc imegubikwa na Kishwahili kibaya sana(kisicho fasaha). Ili nalo likatazamwe!
BAKITA INABIDI WAWANDIKIE BARUA KALI YA ONYO BBC KAMA WANASHINDWA KUWAAJIRI WAJUVI WA KISWAHILI WASIITUMIE LUGHA HIYO KWENYE MATANGAZO YAKE,WAKIGOMA BBC IPIGWE BAN KUSIKIKATANZANIA NZIMAKwa anaye kielewa anijuze. Wakenya wanaharibu sana lugha yetu. Kurasa za mitandao ya kijamii ya bbc imegubikwa na Kishwahili kibaya sana(kisicho fasaha). Ili nalo likatazamwe!
Wakenya wanaharibu sana lugha yetu.
Wale wanazungumza Kiswahili kwani?, watafute jina lingine la hicho wanachokizungumza, sio kiswahili kile..Kwa anaye kielewa anijuze. Wakenya wanaharibu sana lugha yetu. Kurasa za mitandao ya kijamii ya bbc imegubikwa na Kishwahili kibaya sana(kisicho fasaha). Ili nalo likatazamwe!
Nchi ya WaSwahiliIvi kiswahili ni Mali ya nchi gani?
Nyinyi mnavyo haribu kingereza,huwa mnapewa onyo?BAKITA INABIDI WAWANDIKIE BARUA KALI YA ONYO BBC KAMA WANASHINDWA KUWAAJIRI WAJUVI WA KISWAHILI WASIITUMIE LUGHA HIYO KWENYE MATANGAZO YAKE,WAKIGOMA BBC IPIGWE BAN KUSIKIKATANZANIA NZIMA
Kimeharibiwa kwenye media gani ya habari ya TZ inayotangaza kwa kiingereza?Nyinyi mnavyo haribu kingereza,huwa mnapewa onyo?
Umewahi kufatilia channel ya Azam inaitwa Azam One, kipindi kinaitwa Magazine.Kimeharibiwa kwenye media gani ya habari ya TZ inayotangaza kwa kiingereza?
Waswahili ni watu wa nchi gani?Nchi ya WaSwahili
Sawa tufanye wana makosa hayo,nchi zenye lugha yao hiyo kama UK tumeikataza isilikemee hilo?Umewahi kufatilia channel ya Azam inaitwa Azam One, kipindi kinaitwa Magazine.
Kuna waSwahili waliopewa kuendesha BBC au shirika lingine kwa lugha ya kiingereza?Nyinyi mnavyo haribu kingereza,huwa mnapewa onyo?
Sasa kama hamko competent,mtasaidiwa vip mkuu.? Tuache malalamikoSijui kwanini wamewaajiri wakenya wakati kiswahili kimezaliwa Tanzania
Tanzania haina haki miliki na Kiswahili mzee, kama wanaongea na wanaeleweka hiyo itakuwa ni version ya Kiswahili ya KenyaKwa anaye kielewa anijuze. Wakenya wanaharibu sana lugha yetu. Kurasa za mitandao ya kijamii ya bbc imegubikwa na Kishwahili kibaya sana(kisicho fasaha). Ili nalo likatazamwe!
Nani alikizaa?Sijui kwanini wamewaajiri wakenya wakati kiswahili kimezaliwa Tanzania
Lugha yako ulipewa na nani? Uliinunua wapi? Unaweza kumkataza mtu asitumie lugha kwa kuwa ni "ya kwako"?Sawa tufanye wana makosa hayo,nchi zenye lugha yao hiyo kama UK tumeikataza isilikemee hilo?
Sisi wenye lugha yetu ya kiswahili hatutaki lugha yetu iendelee kukosewa,kama wao wanaona ni sawa lugha yao ya kiingereza iendelee kuharibiwa ni wao.