simaye
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 426
- 214
Kumekuwa na kasumba ya watendaji wakuu wa serikali kutoa maelekezona majibu kwa kutumia lugha ya kiingereza na kiswahli, Hali hii imepelekea wananchi wengi kubaki wasikilzaji wa sauti pasipo kuelewa nini wameelekezwa na mwisho wanawapigia makofi ya mkumbo baado ya kuona mheshimiwa wa aliye jirani na msemaji akipiga makofi.Waugwana mnafikiri nini kinaweza kufanyika ili viongozi hawa wanapozungumza na watanzania walio wengi watumie kiswahili ambacho kinaeleweka?