Nanukuu "wakenya mnakiswahili kibaya inatakiwa mpewe darasa la kiswahili"- Samia s. Hassan
"Sisi ndio tunakiswahili kibaya ila tunawajibu kwa kiswahili kibaya na watanzania mnatujibu kwa kiingereza kibaya"- mzungumzaji wa Kenya baada tu ya Samia kumaliza hotuba yake kwenye mkutano wa JUKWAA LA MIFUMO YA CHAKULA
"Sisi ndio tunakiswahili kibaya ila tunawajibu kwa kiswahili kibaya na watanzania mnatujibu kwa kiingereza kibaya"- mzungumzaji wa Kenya baada tu ya Samia kumaliza hotuba yake kwenye mkutano wa JUKWAA LA MIFUMO YA CHAKULA