Sijui kuandika English

Sijui kuandika English

lady mmarangu

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2015
Posts
306
Reaction score
166
Wanajamvi za mda huu nina shida ya kutokujua kuandika ngeli naomba msaada wenu,kuongea najua ila kuandika ndo issue.ntashukuru kama mtanisaidia kwa hilo mana niko form 2.napaya shida sana darasani
 
Tatizo kubwa katika lugha ya Kiingereza ni matumizi sahihi ya tenses....jitahidi upata vitabu vizuri vya Kiingereza ufahamu kutumia tenses itakusaidia. Pia jitahidi mazoezi mengi kuandika kwa Kiingereza.

Pole.
 
Unaweza kupata kufungua mtandao kama website ya google.com?
 
Nenda kwa Mwalimu wako wa English akuandikie orodha ya vitabu vya kusoma na pia yeye atakushauri cha kufanya.
 
1. Ungeanza na shikamoo

2. Unajua kuongea vyema ila hujui kuandika. Naomba uthibitishe hili kwa kuambatanisha audio ya wewe ukijitambulisha kusema machache kuhusu wewe ili tujue tunaanzia wapi kukusaidia!
 
Nmeshangaa umesema hujui kuandika ngeli lakini watu wanakuambia habari za kiingereza. Ngeli ni mada kwenye somo la kiswahili. Na kuna NGELI mbalimbali.

Kama niNGELIjua hujui kiswalihi niNGELIkufundisha pia

Na kama Hujui na Kiingereza nitafute nitakufundisha
 
Wanajamvi za mda huu nina shida ya kutokujua kuandika ngeli naomba msaada wenu,kuongea najua ila kuandika ndo issue.ntashukuru kama mtanisaidia kwa hilo mana niko form 2.napaya shida sana darasani
Unaweza aje kuongea na ushindwe kuandika? Je kinachokushinda ni usahihi wa herufi (spelling) au nini?
 
Kwa mujibu wa headline:-
Mbona umeandika "ENGLISH"
 
Anza na sound and read book 1 and two. Nimetoa Watanzania wengi sana kupitia hivi vitabu. Kama upo Dodoma nitafute mi mwalimu wa kiingereza.
 
lady mmarangu - Aug 3, 2016
Wanajamvi natumai siku yenu imeisha salama salimini,
Hivi inakuwaje mwanaume una mke, ila kucha kutwa uko bzy tu bado, jamani mnatafuta nini huko au kuna la ziada? Mwanaume anakula na sim mkononi ni ku chart tu na wanawake mnaandikiana sms za ngono tu, mwanaume una lala sa sita kisa bado!!!mh!!!
Siamini kama ni wote mtakuwa na hiyo tabia, ila nitafsireni mwanaume wa hivi ana maana gani? Mnapanga kufanya kazi fulan mwenzako anaingia ndani unadhani labda kaenda kujisaidia anachelewa unaamua kumfuta una kuta yuko bz na sm bado!!!!! Sim hizi!!

lady mmarangu - Feb 24, 2016
Nahitaji msaada wenu ndugu zanguni, mume wangu anasumbuliwa na ugonjwa wa kisukura ya pata miaka 2 sasa, na tunahitaji mtoto ila imekuwa ni shida kupata ujauzito kutokana na hiyo hali yake.
Imefikia hali mpaka manii hazitoki kabisa nisaidieni jamani.
Nawakilisha hili nahitaji mchango wenu.
 
Kuongea ndio deal,kwavile unaweza basi kheri.
 
Back
Top Bottom