Omari Makoo
Member
- Sep 6, 2016
- 78
- 39
Inasemekana kwamba asili ya neno daladala ni zama za Mwl Julius Nyerere wakati shilingi tano likuwa sawa na dolar moja ya kimarekani hivyo shillingi tano ikawa inaitwa dala na wapiga debe enzi hizo walisema dala -dala-dala kumaanisha kuwa nauli ni dala moja(gwala/shilingi tano) na ndipo lilipoibuka neno daladala.
Tupe asili nyingine ya maneno unayoyafahamu
Tupe asili nyingine ya maneno unayoyafahamu