BRONX FAMILY - MAMBO YOTE.
"Huu ni mwanzo wa chimbuko wa Hip Hop ya Bongo walikuwepo Gwm, niggers 2 public na k wa kwanzania , Mic walishika wakiwa ma mc wenye vipaji ingawa kuna wengi walipinga...
KUMBUKUMBU YA RAMADHANI 4
FUNGA YA ZIMBABWE 1993
Nimefunga Ramadhani Harare, mwaka wa 1993.
Naikumbuka safari hii vyema sana.
Nimepanda ndege ya alfajir ATC kuelekea Harare.
Uwanja wa ndege...
Angalia hapo juu picha ya Bi. Mwamtoro bint Chuma mama yake Sheikh Haidar Mwinyimvua.
Picha hii inamwonyesha Bi. Mwamtoro bint Chuma akipiga kura Uchaguzi Mkuu wa 1970.
Bila ya shaka yoyote...
KUMBUKUMBU YA RAMADHANI 2
MFUNGO WA RAMADHANI NA SIKUKUU YA EID MBALI NA NYUMBANI NA KWINGI DUNIANI
Mombasa, Kenya 1990s
Hii mbali na nyumbani nimemwibia gwiji wa fasihi, Shafi Adam Shafi...
Kitaaluma. Ukisoma peopling of East Africa utajua kuwa sisi ni Cushite. Ukisoma Itandala (1997) katika kitabu chake East Africa and its Invaders anasema, Afrika kuna makabila 3. Negros, Hamites...
MAJINA YA ALI (ALLY) KATIKA HISTORIA YA KUPIGANIA UHURU WA TANGANYIKA
Katika vibao hivyo vitatu kimoja kimekosekana.
Kimesosekana kibao cha Ali Masham wa Magomeni Mapipa.
Ali Masham alifungua...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jaji Mkuu,
Majaji,
Mawakili na Mahakimu wote
Ukweli kuhusu umiliki wa viwanja 32/77 Somali Street na 17/56 Mtaa Mchikichi Kariakoo Dar es Salaam.
Mimi...
Habari Ya asubuhi Leo Ya tarehe 11/03/2024 Nawaletea Ufunuo huu WanaJF twende Na Mimi ili mpate mambo mzuri
WILLIAM TYNDALE,MTU ALIYECHOMWA MOTO NA KANISA KWA KOSA LA KUTAFASIRI NA KUCHAPISHA...
Habara wana JF, naamini mmetuliza akili Kwa kusoma uzi mrefu sina muda wa kupoteza hadi sasa naomba mniazime dakika 3 za kusoma uzi huu
Kabla sijaelezea kuhusu mwanzo wa taifa la Israel pamoja na...
Vijana ni nguzo ya Taifa hivyo Taifa lolote halina budi kuwa na vijana wenye weledi wa Mambo pamoja na Utashi katika kufanya Mambo, Jambo ambalo linaweza kuwapa historia kubwa hata baada ya mwisho...
Kwa hakika kipindi cha utawala wa Mwinyi hakupungukiwa na watu waliokuwa wanaona raha kumshambulia.
Ilisikitisha kuwa kulikuwa na magazeti yalimpa nafasi Reverend Mtikila kumshambulia Rais.
Kuna...
KARIBU SANA MWANA JAMIIFORUM TUJIFUNZE na ruksa kukosoa chapisho.
FERRUCCIO LAMBORGHINI
Zamani nilinunua magari mashuhuli sana ya gran Turismo na katika kila hizi gari nililinunua niliona zina...
MWALIMU NYERERE NA SHEIKH THABIT KOMBO
Rais Ali Hassan Mwinyi anaeleza katika kitabu chake kuwa Sheikh Thabit Kombo ndiye aliyependekeza jina lake kwa Mwalimu Nyerere awe Rais wa Zanzibar...
HIP HOP IN ZANZIBAR...
MUziki wa Rap ni Muziki pekee ambao hutoa Elimu kwa jamii kutokana na aina ya Tungo au Mashairi wanayoimba wasanii wanaofanya Muziki Huo ..
Kwa Hapa Tanzania tuna list ya...
Hapo chini kuna "Memories" post niliyoandika baada ya kutoka kumbukumbu za Rais Ali Hassan Mwinyi.
Ukiwa umesoma kitabu cha Mzee Mwinyi na ukawa umesoma kitabu cha Abdul Sykes (1998) utaona kuna...
SIKU YA MWANAMKE DUNIANI
Gazeti la Mwananchi la leo limechapa makala ambayo walinitembelea Maktaba nami nikawazungusha katika mitaa ambayo wanawawake wa Tanganyika walikuwa hawapunguia katika...
Wakuu Habari za uzima?
Natumai harakati zinaendelea za kulijenga Taifa.
Napenda kuuliza vita ya MAJIMAJI iliyoongozwa na babu yetu kinjekitilingwale, je walikuwa mashujaa wa kutumia maji kama...
Mwanaume mmoja alipanda ndege ya Shirika la ndege la Northwestern Airlines akiwa peke yake, akibeba bomu kwenye mkoba kwa urahisi kama ameshika faili la nyaraka za ofisi. Aliteka ndege hiyo na...
RAIS ALI HASSAN YALIYOMFIKA NA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI
''Tanzania Press Club hosted Reverend Christopher Mtikila, secretary of Full Salvation Church.
In that press luncheon Mtikila attacked...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.