MAALIM SEIF SHARIFF NA VIJANA WA TANZANIA BARA UCHAGUZI MKUU 1995 SEHEMU YA KWANZA
Miongo mitatu imepita, yaani miaka 30. Huwa napita Barabara ya Titi Mohamed nikitokea Mnazi Mmoja nakwenda...
Hage Geingob (Full interview) (Namibia Documentary Series)
https://m.youtube.com/watch?v=zfNQ1MqEBVc
We had the pleasure to sit down with Namibian Prime Minister and former anti-apartheid...
Wakati huo radio zilizotumika alimaarufu kama redio za phillps, national, panasonic naNationalpanasonic au maarufu kwa jina la dudu proof
Orodha ya Majina haya hapa:
Abdallah Iddrissa...
INAKUWAJE MWANAHISTORIA ANAPOKUTANA NJIANI NA KIZAZI CHA CHIEF MAREALLE NA CHIEF MARUMA WOTE KWA WAKATI MMOJA?
Kuna mengi yasiyofahamika katika historia ya uhusiano waliokuwanao machifu wa...
Ukisoma kitabu Desturi za Wachagga utaelewa kwa nini Wachagga wako mbele kuliko makabila mengi ya Tz. Kwanza kitu kikubwa sana kilichowatoa ni kupanda kahawa na kuwa na hiki chama Kilimanjaro...
WANYATURU ambao awali walijulikana kwa jina la Warimi ni watu wanaoishi karibu wilaya zote za mkoa wa Singida yenye tarafa saba.
Kwa Mujibu wa Patrick Mdachi katika kitabu cha Wanyaturu wa...
CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) CHABOMOA NYUMBA ILIPOASISIWA TANGANYIKA AFRICAN NATIONAL UNION (TANU)
CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) YAVUNJA NYUMBA ILIPOANZISHWA TANGANYIKA AFRICAN ASSOCIATION NA KUASISIWA...
https://youtu.be/Quxmi99MjhE
Aisha ''Daisy'' Sykes katika makala ''Abdul Sykes Nimjuaye'' aliyoandika katika kumbukumbu ya miaka 50 ya kifo cha baba yake Abdul Sykes aliyefariki mwaka wa 1968...
https://youtu.be/FxUtFHgXxDw
ZIMA MOTO KATIKA UBORA WAKE
Nimeikuta hii video mtandaoni na nikaiangalia kuanzia mwanzo hadi mwisho.
Wakati mwingine nilikuwa nacheka peke yangu.
Kwa nini nacheka...
Naweka hapo chini makala za historia ya Kilwa nilizopata kuandika katika nyakati tofauti katika kupigania uhuru wa Tanganyika:
ABDULKARIM HAJJ MUSSA, MWINYI MCHENI OMARI NA JULIUS NYERERE KATIKA...
_____________________
1.Wamatengo ni kabila la watu wanaoishi na wenye asili ya mji wa Mbinga, katika mkoa wa Ruvuma.
2.Kabila hilo linasifika kwa ukarimu na uhodari wa kazi.
3. Wamatengo...
Kwa wale watoto wa Tambaza 1990 to 1993 mtakuwa mnakumbuka jamaa wakuitwa Puza. Huyu alikuwa ni miongoni mwa watukutu mashuhuri wa Tambaza. Mwaka 1992 Puza alijiua kwa kujinyonga nyumbani kwao...
Uandishi sio mzuri mjitahidi
Kabla ya Julius Nyerere hajawa kiongozi wa TANU na hali ya siasa za Tanzania zilikua kama ifuatayo;-
Changamoto kubwa ya TAA na baadae TANU ilikuwa ni power struggle...
Hi ni HISTORIA kwa Vyombo vya Ulinzi na Usalama vya Tanzania kwa kushindwa kabisa KUWAKAMATA waliotenda UHALIFU huu
1.Waliompiga RISASI Mwanasiasa TUNDU LISSU
2.Waliomteka Mfanyabiashara MO DEWJI...
United Kingdom, island country located off the northwestern coast of mainland Europe. The United Kingdom comprises the whole of the island of Great Britain—which contains England, Wales, and...
TUNAYOPENDA TUSAHAU
Kuna mambo wala huhitaji kuyaeleza.
Huhitaji kueleza historia ya Auschwitz.
Dunia nzima inaijua.
Kitabu hiki ni muhimu katika kuijua historia ya mauaji haya ya tarehe 26 na...
Mwaka wa 1952 Ahmed Rashaad Ali alimwandikia Gamal Abdel Nasser Rais wa Misri barua yenye kurasa sita kuhusu mateso yanayowakabili wananchi wa Zanzibar chini ya usultani.
Rashaad alimuomba Nasser...
Ni story ambayo naisikia kwa muda mrefu sana tangu nikiwa shule ya msingi.
Ningependa kujua ukweli wake wa uhalisia uliokuwepo.
Kiutawala Uganda ilikuwa chini ya Tanzania hata baada ya Uganda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.