Jukwaa la Historia

On JF:

KUTOKA UWANJA WA MKAPA HADI UWANJA WA MWALIMU NYERERE NYOTA WA YANGA Mwanangu Taufik ni mpenzi mkubwa wa Yanga na mimi ni Mnyama. Kwa kweli nateseka sana maana baada ya zile hamsa yeye ni...
28 Reactions
20 Replies
2K Views
JUMA DUNI HAJI Nilikutana na Juma Duni Haji kwa mara ya kwanza chumbani kwa Maalim Seif Starlight Hotel mwaka wa 1995 CUF ikiwa katika harakati za Uchaguzi Mkuu wa kwanza baada ya kurejeshwa...
3 Reactions
14 Replies
1K Views
GEORGE ARNAUTOGLU Ukumbi wa Arnautoglu ulikuwa ukumbi maarufu sana Dar es Salaam katika miaka ya 1950 na shughuli nyingi za kijamii na za kiasi zimefanyika pale. Jambo la kusikitisha sana ni...
9 Reactions
18 Replies
4K Views
Kama kuna kitu kizuri mzee wetu Ruksa alikifanya ilikuwa kumgomea mwalimu Nyerere kuondoa jina lake kwenye mchakato wa Urais 1985. Ilikuwa hivi: Mwalimu alikuwa na marafiki watatu kule zanzibar...
13 Reactions
63 Replies
5K Views
Mnamo Mwaka 1991 Pepe Kalle na bendi yake ya Empire Bakuba walikuja Tanzania kufanya onesho katika jiji la Arusha. Walipowasili Arusha, walikodi taksi iliyokuwa inaendeshwa na mwanamama Hidaya...
9 Reactions
28 Replies
5K Views
TAAZIA Leo usiku saa tatu In Shaa Allah nitakuwa TV Africa Channel 2 Mubashara Kipindi Maalum cha Rais Mwinyi. Wako King'amuzi cha AZAM Ingia Others. Picha hapo chini Ukumbi wa Korea...
3 Reactions
14 Replies
1K Views
MLANGO UNAOJIFUNGUA KATIKA KITABU CHA MZEE MWINYI Mzee Mwinyi Mashaallah hodari wa kuchekesha. Katika kitabu chake, "Mzee Rukhsa..." anahadithia alivyokuwa mwanafunzi Uingereza alivyoshtuka...
4 Reactions
5 Replies
661 Views
Asili ya neno Morogoro ni Mluguru ili kujua zaidi twende pamoja. KAMA utairejea historia ya Morogoro ya miaka ya kati ya 1870 hadi 1888, kipindi ambacho Sultan wa Zanzibar alikuwa Sayyed...
4 Reactions
25 Replies
6K Views
Wanajamvi, Naamini si wengi wanaomfahamu Sheikh Ilunga Hassan Kapungu. Karibuni tuangalie Ilunga katokea wapi na nini kilimfanya awe vile alivyokuwa: Sheikh Ilunga Hassan Kapungu kaingia katika...
23 Reactions
497 Replies
73K Views
Papa John Paul II Mwaka 1990 alitembelea Tanzania na kukaribishwa na Rais Ali Hassan Mwinyi Kumualika Papa aketiye Kitini pake Mtume Petro ni jambo moja lakini Mwaliko wako kukubaliwa ni jambo...
5 Reactions
16 Replies
2K Views
NINAVYOMKUMBUKA RAIS ALI HASSAN MWINYI (1925 - 2024) Toleo hili la March 1993 linalomwonyesha Rais Mwinyi yuko kwenye meli inayopigwa mabomu ilikuwa ni ''lead story'' yangu katika jarida la...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Hebu tafakari kama German East Africa ingepata uhuru pamoja bila Rwanda Na Burundi kumegwa na Belgium baada ya ujerumani kushindwa vita vya kwanza vya Dunia; Ingewezekana kama tungepata uhuru...
0 Reactions
1 Replies
442 Views
GUNDU LA ADDIS ABABA Nina bahati mbaya na Ethiopia. Hili la sanamu halinishangazi Mara ya kwanza kufika Addis Ababa ilikuwa mwaka wa 1989 mwezi December kuelekea Christmas. Mwaliko wangu...
0 Reactions
7 Replies
888 Views
"MAALIM SEIF, MAALIM SEIF, MAALIM SEIF" Naangalia matangazo haya mubashara kutoka Bungeni, Dodoma. Hakika lilikuwa jambo la fedheha kwani kibwagizo kile cha jina la Maalim kilikuwa kinasema mengi...
3 Reactions
5 Replies
890 Views
Moja kwa moja kwenye mada. Wakosoaji wameng'ang'ania 'oh watu walilazimishwa kuhama' wengine wanadai 'oh Walikufa raia wengi sana wakati wa vijiji vya ujamaa' "Vijiji vya ujamaa lilikuwa...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
SANAMU YA ABRAHAM LINCOLN, LINCOLN MEMORIAL WASHINGTON DC NA SANAMU YA JULIUS NYERERE DODOMA Abraham Lincoln sijapatapo kumuona hata siku moja ila katika picha. Lakini huwezi kuniwekea sanamu...
9 Reactions
26 Replies
2K Views
NAMKUMBUKA RAFIKI YANGU ALI ABDALLAH KAZUA Mwaka wa 2021. Utasema jana. Nilikuwa nikikaa na Kazua tunakumbushana mengi sana ya zamani. Kazua siku moja kanipa kisa cha Mzee Mangara Tabu na Ayubu...
1 Reactions
0 Replies
580 Views
SHAJARA YANGU UCHAGUZI MKUU ZANZIBAR MPAMBANO WA MAALIM NA KOMANDO 1995 Miaka 29 sasa imetimu toka uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi mwaka 1995 baada ya mapinduzi na muungano mwaka wa 1964. Niko...
0 Reactions
2 Replies
794 Views
MAALIM SEIF SHARIFF NA VIJANA WA TANZANIA BARA UCHAGUZI MKUU 1995 SEHEMU YA PILI Katika mazungumzo yetu Starlight Hotel, Maalim Seif ni kama vile hakuweza kujiaminisha kuwa kweli Tanzania Bara...
0 Reactions
1 Replies
671 Views
MAALIM SEIF SHARIFF NA VIJANA WA TANZANIA BARA UCHAGUZI MKUU 1995 SEHEMU YA KWANZA Miongo mitatu imepita, yaani miaka 30. Huwa napita Barabara ya Titi Mohamed nikitokea Mnazi Mmoja nakwenda...
3 Reactions
1 Replies
559 Views
Back
Top Bottom