Jukwaa la Historia

On JF:

Kumbukizi ya miaka 40 ya kifo cha Waziri Mkuu Edward Moringe Sokoine imenikumbusha historia ya rafiki wa Sokoine Mzee Ali Mohamed Mead. Mzee Ali Mohamed Mead alikuwa mfanyabiashara mkubwa na...
2 Reactions
1 Replies
796 Views
NDUGU WAWILI KATIKA HISTORIA YA TANU: STEVEN MHANDO NA PETER MHANDO Imenichukua muda mrefu sana kuitafuta na kupata picha ya Steven Mhando na mdogo wake Peter. Niliipata picha ya Peter Mhando na...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Utangulizi Kuna wako wanaomtazama Dr. Dau kama ''Lecturer'' Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam. Kuna wengine wanamtazama Dr. Dau kama Mkurugenzi wa Masoko Tanzania Ports Authority (TPA) na wengine...
5 Reactions
18 Replies
2K Views
https://youtu.be/JGzC8AhERU8?si=Jen_Ou1-W6qGL51S
0 Reactions
0 Replies
428 Views
Mwandishi William L. Shirer amefanya kazi ya kutukuka sana katika kitabu hiki. Ni kitabu kirefu kidogo ila hebu fuatana na Mimi na nikuhakikishie, hautajua kimeishaje.. hisia na taarifa +...
1 Reactions
48 Replies
4K Views
Historia Mzee Mshume Kiyate na Mwalimu Julius Nyerere 1950s https://youtu.be/YgT0LS-qGUg
0 Reactions
7 Replies
910 Views
MWANANGU MWANASITI KIJINO KAMA CHIKICHI... Laiti kama kuta zingekuwa na masikio. Picha hiyo ya kwanza hapo ni Muthaiga Country Club, Nairobi mwaka wa 1989 niko na Ally Sykes (1926 - 2013)...
13 Reactions
7 Replies
2K Views
HAPO ZAMANI ZA KALE ''Hadithi, hadithi.'' Msimuliaji atanadi kama vile anauza kitu. Wasikilizaji wataitika ''Hadithi njoo, utamu kolea.'' Msimuliaji atajibu, '' Hapo zamani za kale...'' Simulizi...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
KALAMU YANGU, RAIS ALI HASSAN MWINYI NA KITABU: ''MZEE RUKHSA: SAFARI YA MAISHA YANGU'' Makala hii fupi niliandika May 2021 baada ya kutoka kitabu cha maisha ya Rais Ali Hassan Mwinyi. ''Leo...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
KUMBUKUMBU ZA RAMADHANI: FUTARI NYUMBANI KWA MAYOR KITWANA SELEMANI KONDO OYSTER BAY NA UPANGA Katika makala fikra zangu zinarudi nyuma miaka mingi sana Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kama huu...
5 Reactions
19 Replies
2K Views
Kwa kifupi wakati mimi niko shule ya msingi katika miaka ya arobaini, Tanganyika ilikuwa imegawanywa katika majimbo (provinces) 8, ambayo ni: Lake, Northern, Tanga, Eastern, Southern, Central...
13 Reactions
90 Replies
24K Views
Kwa mujibu wa Kamusi ya Karne ya 21 iliyoandikwa na kuchapishwa na LONGHORN, Maana ya Maandamano ni "msururu wa watu wanaotembea kuelekea mahali Fulani kwa lengo maalum." Kwa umri wangu huu...
0 Reactions
7 Replies
720 Views
NYONGEZA: Huyu ndiye Earle Edward Seaton kama anavyoelezwa na Abdul Sykes: "Uingereza ilikuwa ikitawala Tanganyika chini ya kifungu 76 na 77 cha Mkataba wa Umoja wa Mataifa. Kama mamlaka tawala...
1 Reactions
0 Replies
356 Views
Mzee Mshume Kiyate akimvisha Mwalimu Nyerere kitambi kumfariji baada ya maasi ya 1964 Aliyemshika Nyerere mkono kulia ni Mshume Kiyate, Max Mbwana na Mwinjuma Mwinyikambi Uchaguzi wa Rais 1962...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Most of the main players in the Nazi regime, probably including Hitler, escaped. He and his lady Eva Braun did not die in the bunker,as history urges us to believe. At least some of them went to...
0 Reactions
3 Replies
480 Views
Hii ni picha juu ni ya jamaa yetu (mwafrika) mwanaume anayenyongwa kwa kutumia kifaa cha kunyongea kiitwacho garrote. Picha chini ni garrote inavyoonekana kwa karibu sana, usigukilie kifaa...
18 Reactions
72 Replies
4K Views
KAULIZA MUULIZAJI: ‘’KWA NINI MAJINA YA WAASISI WA TANU 1954 YAPO KATIKA HISTORIA YA UHURU WA TANGANYIKA LAKINI WAASISI WA AFRICAN ASSOCIATION 1929 HAYAONEKANI POPOTE?’’ Kijana alichonitafutia ni...
3 Reactions
6 Replies
1K Views
1. Reli ya Kwanza Tanzania Bara - Tanga 1893. 2. Shule ya kwanza ya Sekondari- Tanga 1890 (Tanga Old School). 3. Shule ya Kwanza (Anglikana) Tanzania 1848 - Tanga Magila Muheza. 4. Taasisi ya...
5 Reactions
7 Replies
1K Views
Nilikuwa Mwanza na nilitembelea wilaya za Magu na Sengerema. Huko nilikutana na ngoma za kina Ng'wana Ituli,wanacheza MBINA. Hii ni ngoma inayochezwa kipindi cha kiangazi baada ya mavuno...
16 Reactions
356 Replies
194K Views
Huyu Bwana yuko zake Kimara Bucha kwenye kasri au tuite hekalu lake mithili ya ikulu ndogo ya Singida, anakula bata huku akilea wajukuu, ameshazeeka sasa. Yeye na kizazi chake walipigwa ban...
77 Reactions
265 Replies
37K Views
Back
Top Bottom