Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 20,920
- 30,263
MAJINA YA ALI (ALLY) KATIKA HISTORIA YA KUPIGANIA UHURU WA TANGANYIKA
Katika vibao hivyo vitatu kimoja kimekosekana.
Kimesosekana kibao cha Ali Masham wa Magomeni Mapipa.
Ali Masham alifungua tawi la TANU nyumbani kwake na tawi hili lilifanya makubwa katika kupigania uhuru wa Tanganyika.
Bahati mbaya viongozi wa serikali ya mtaa hawajaona umuhimu kwa kuhifadhi jina la mzalendo huyu.
Bado nasubiri kibao cha nne cha Ali Msham nikamilishe historia ya akina Ali katika historia ya TANU.
Katika vibao hivyo vitatu kimoja kimekosekana.
Kimesosekana kibao cha Ali Masham wa Magomeni Mapipa.
Ali Masham alifungua tawi la TANU nyumbani kwake na tawi hili lilifanya makubwa katika kupigania uhuru wa Tanganyika.
Bahati mbaya viongozi wa serikali ya mtaa hawajaona umuhimu kwa kuhifadhi jina la mzalendo huyu.
Bado nasubiri kibao cha nne cha Ali Msham nikamilishe historia ya akina Ali katika historia ya TANU.