Jukwaa la Historia

On JF:

02 December 2022 Exclusive Interview With Mama Cecilia Tamanda Kadzamira, Former First Hostess of Malawi https://m.youtube.com/watch?v=4zOUbpK945o Cecilia Tamanda Kadzamira, GCVO (amezaliwa 25...
3 Reactions
18 Replies
1K Views
KIBRI KITAANGAMIZA MAREKANI NA ISRAEL Tatizo kubwa la Marekani ni kibri. Hiki kibri kimewaelemea kiasi hawawezi kuwaza kama binadamu mwenye uwezo uliokuwa na kikomo. Hata hapa walipofikishwa...
19 Reactions
149 Replies
3K Views
Tarehe 26/4/2019 ni maadhimisho ya Muungano wa Tanzania. Tukio la kitaifa linalochagizwa siku hiyo ni mkutano wa Mh Rais na Wananchi wa Mbeya katika uwanja wa Rwanda Nzovwe. Katika kudadisi...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Zanzibar kuna wenyeji wengi hasa Kaskazini Unguja, Tanga, Pangani, Mombasa nk. hujinasibu kuwa wao ni Washirazi. Kuna wakati kule Mombasa walikuwa wanaitwa wageni na wengi ilibidi wajichanganye...
7 Reactions
50 Replies
19K Views
https://youtu.be/rXVVWfMv5wo?si=90SAmzHTuVpYN8ek
0 Reactions
0 Replies
138 Views
https://youtu.be/S5dZheEpOh8
1 Reactions
5 Replies
134 Views
https://youtu.be/f6beN4JdXVA?si=Sbk9dfUl2C4IZ6ek
4 Reactions
21 Replies
483 Views
MAKTABA YAPOKEA KITABU CHA VASSANJI KUTOKA MAREKANI Kwa wale waliokulia Kariakoo ya miaka ile akisoma kitabu chochote cha Vassanji ataiona ile Kariakoo ya enzi zetu na yote yaliyokuwapo miaka ile...
5 Reactions
14 Replies
290 Views
Historia ya Iran Iran ni taifa la kihistoria kuliko hata Marekani, ingawa pia Marekani pia ni taifa la kinabii, kwa wakati mwingine tutakuja kuona siri ya Marekani na mwisho wake. Iran kibiblia...
12 Reactions
31 Replies
10K Views
BAADA YA ZAIDI YA MIAKA 50 NIMEKUTANA NA RAFIKI YANGU WA UDOGONI SALUM "GORDON WEST" KHALIL Nimesimama nje ya Masjid Maamur tumetoka kwenye Akid ni baada ya swala ya Isha na kuna msongamano...
5 Reactions
6 Replies
242 Views
IJUE HISTORIA YA MUZIKI WA DISCO TANZANIA Promasika / blogger 0 Promasika.Com Na Mwandishi wetu, Washington, DC Nimeona nikae chini niipitie maandiko ya mhenga moja aliyeandika habari ya DISCO...
9 Reactions
42 Replies
12K Views
Leo tarehe 26 Aprili 2026, Tanzania inaadhimisha miaka 62 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar (1964 - 2026). Hata hivyo, hatukutakuwa na maadhimisho ya kitaifa kwa sababu Rais wa Jamhuri ya...
3 Reactions
6 Replies
221 Views
1.Aaliyah, miaka 22. Alikuwa ni mwimbaji wa muziki, alifariki kwa ajali ya ndege. 2.Malcom X, miaka 39. Alikuwa ni mwanaharakati wa haki za biinadamu. Aliuwawa. 3.Martin Luther King, miaka 39...
48 Reactions
859 Replies
214K Views
Haya ni matukio muhim yaliyotokea na kutikisa nchi 1962: Mwalimu Nyerere kujiuzuru uwaziri mkuu wakati ameijenga Tanganyika kwa heshima, wengi walishangaa kumbe alikuwa na malengo yake, 1962...
5 Reactions
62 Replies
15K Views
https://youtu.be/hzc1zFNRBnk?si=pKH9rskM6ijwPFzv
1 Reactions
8 Replies
171 Views
Gazeti la Jamhuri la Jumanne 21 - 27 November, 2023 lina makala: ''Zanzibar Ndani ya Muungano Haishikiki - (14). Baada ya kusoma niliingia Maktaba na nikakuta hayo yafuatayo niliyoandika miaka...
2 Reactions
19 Replies
2K Views
Kabla ya mkutano wa Berlin dola ya Ottoman ilitawala Misri na Sudan. Kwa kituruki neno bwana au Sir ni Effendi. So askari wao wenye vyeo walikuwa adressed kama Effendi. Askari wa Sudan wakaingiza...
1 Reactions
1 Replies
135 Views
https://youtu.be/2lbxEG81HcU?si=QQO7X8zivICICcFX
0 Reactions
4 Replies
97 Views
Sheria ya Tume za Uchunguzi ya Tanzania, Sura ya 32 Toleo Lililorekebishwa 2002, inampa Rais mamlaka ya kuanzisha tume za kuchunguza masuala ya maslahi ya umma, ikiwa ni pamoja na mwenendo wa...
0 Reactions
1 Replies
111 Views
Duka la kwanza la kuoka mikate kufunguliwa Afrika Mashariki lilikuwa Nairobi. Mzungu aliyelifungua aliitwa McCarthy. McCarthy ndiyo likaja kuwa jina Mkate.
4 Reactions
8 Replies
209 Views
Back
Top Bottom