Usiku wa jumamosi ya tarehe 19 Mei, 1962, katika ukumbi wa Madison Square Garden, New York, uligeuka kuwa jukwaa la historia ambalo halitokuja kuandikwa vizuri hata kidogo katika siasa na burudani...
SAL DAVIS NA MIMI 2006 - 2026
Katika urafiki wangu na Sal Davis nimeweza kumsikiliza akizungumza maisha yake kuanzia kitongoji cha Makadara, Mombasa (Sasa Prof. Ali Mazrui) alikokulia hadi...
Leo katika historia April 7: Undani wa hayati abeid amani karume kuzaliwa mpaka kifo
Bwana Abeid Amani Karume muasisi wa Mapinduzi ya Zanzibar alizaliwa katika kitongoji cha Pongwe, Mudiria ya...
AL JAZEERA WALIPOKUJA KUNIHOJI TANGA NA DAR ES SALAAM
Mahojiano na Al Jazeera nyumbani kwangu Masaki, Dar es Salaam 2007
Mohamed Val Mtangazaji wa Al Jazeera akinihoji nyumbani kwangu Bombo...
Wasalaam wadau wa jukwaa,Naomba kutajiwa majina mazuri ya asili ya Wakinga ili niweze kumpa mtoto. Napenda majina ya kiasili kama njia mojawapo kuenzi utamaduni wetu Thank you in advance for your help
Nimesoma hili andiko la huyu mzungu akimtwisha Nyerere mambo yote mabaya tangu Tanzania inapata uhuru mpaka sasa likanifikirisha sana hasa nikiangalia Marekani inachofanya Cuba na Iran kwa sasa...
Nimesoma maandiko ya ndugu yangu Mohamed Said aliyoyaweka katika kitabu chake akiitacho Historia ya Uhuru upande wa Pili.
Katika maandishi yake ameonyesha wazi kulazimisha dunia iamini kuwa...
Brussels, Ubelgiji. Tarehe 3 Novemba 1995.
Yupo Mwanadiplomasia mmoja wa Hamas siku hii alikuwa anatoka kwenye mkutano wa Umoja wa Mataifa uliokuwa ukijadili kuhusu wakimbizi wa Palestina.
Sasa...
Hicho anachoita kitabu wala hakina publisher wala mswada haukusomwa na mhariri yeyote aijuae historia ya mapinduzi ni sawa na mtu aliyejifungia chumbani kwake anaandika katika mtandao wa kijamii...
Ilichukua mzalendo, mpigania uhuru asiye na woga na katibu mkuu wa Zanu-PF kuandaa sherehe za uhuru wa Zimbabwe. Kwa msaada wa wafanyabiashara wawili, mmiliki wa baa na mtangazaji wa redio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.