HIi Documentary kihalisia imezungumzia Lissu na Madhira yake
Kwan ni uongo Lissu amekua anaharasiwa na Polisi?
Ni uongo Lissu amekua hakamatwi?
Ni uongo Lissu amekua anafunguliwa Kesi?
Ni uongo...
NOW YOU SEE HIM NOW YOU DON'T: MKASA WA PICHA YA WAASISI WA TANU 1954
Miongo minne iliyopita...
Hiyo makala "Now You See Him Now You Don't," yenye jina True Muslim huyo ni Mohamed Said.
Baada ya...
Kuna mambo hayahitaji maelezo mengi.
Nina furaha kuwafahamisha kuwa Digital Archive ya Mohamed Said imezinduliwa.
Ingia hapo chini:
https://mohamedsaidsalum.com
Abuu,
Wazee wetu waliona balaa lililoikumba India kwa kuingia katika kudai uhuru vyama vyao viwili Congress Party kikiwa chama cha Wahindu na Islamic League kikiwa chama cha Waislam.
Kila chama...
MAKTABA YAPOKEA KALENDA INAYOELEZA HISTORIA YA UKOMBOZI WA AFRIKA KUSINI NA KITABU KUHUSU UBAGUZI KATIKA ELIMU
Mmoja wa wapenzi walio mstari wa mbele katika kuitia nguvu Maktaba ameitunuku...
Hayati Bob Nyanga Makani alizaliwa mwaka 1936 katika Hospitali ya Kolandoto, Shinyanga. Alikuwa ni mmoja wa watoto wengi katika familia ya Mzee Makani.
Alipokuwa na umri wa miaka sita, alianza...
Freedom and unity
Freedom and socialism
Freedom and development
Poverty is bad but poverty in thoughts is worse
Source: Personal development
How Mwalimu Nyerere was heavily influenced by John...
Mohamed Said, anasimulia:
"Nikiwa mtoto mdogo katika miaka ya katikati ya sitini, nilikuwa nikisikiliza muziki wa Sal Davis... nikiimba na mwingine nikipiga kwenye gitaa langu.
Siku moja baada...
Mkoa wa Mara unapatikana Kaskazini mashariki mwa nchi ya Tanzania. Kwa mujibu wa tovuti ya mkoa, kiutawala Mkoa umegawanyika katika Wilaya 6 ambazo ni; Musoma, Butiama, Bunda, Serengeti, Tarime na...
Nimeiona picha ambayo nilipiga na Ally Sykes Muthaiga Club Nairobi mwaka wa 1989.
Miaka 37 imepita.
Ally Sykes amefariki miaka 13 iliyopita.
Bwana Ally alikuwa rafiki yangu na baba yangu lakini...
Hapa jamvini kumekuwa na mjadala mkali kuhusu historia ya uhuru wa Tanganyika.
Watu wengi wamekuwa wakiniuliza kitabu kitapatika lini baada ya kuwa "out of print" kwa muda mrefu.
Nina furaha...
Ili mimi kujipunguzia maswali kutoka kwa wale ambao hawajui chanzo cha vuguvugu la siasa na harakati za kudai uhuru wa Tanganyika angalieni video hiyo hapo chini...
Kila mchapaji nikimpa publisher atakaa na kitabu kile... kitabu kizuri sana lakini m siwezi kukichap kitabu... Haya mambo uliyoandika huyu bwana matatizo."
Kuhusu madai ya kuwa na "obsession" na...
Mchango wa Sheikh Hassan bin Amir: Mohamed Said anaeleza kuwa Sheikh Hassan bin Amir, aliyekuwa Mufti wa Tanganyika miaka ya 1950 na 1960, alikuwa na mchango mkubwa kwa kuuza kadi za TANU ndani ya...
FAHAMU HISTORIA YA "WAPARE" WATU BAHILI ZAIDI TZ
Wapare ni kabila kutoka milima ya Pare, Mkoa wa Kilimanjaro, kaskazini ya nchi ya Tanzania. Lugha yao ni Kipare ( Chasu).
Wapare wanatokea katika...
Mwisho wa juma lililopita nilifanyiwa mahojiano na Online TV moja inayojikita kwa vijana.
Mwisho wa mahojiano mtangazaji alinirushia swali lakini kwanza akanitahadharisha kuwa swali hilo ni langu...
Je, unajua kuwa tarehe 7 Julai 1954 (Saba Saba) haikuwa siku ya kawaida katika historia ya Tanzania?
Miaka 72 iliyopita, ndani ya chumba kidogo cha mtaa wa New Street (sasa Lumumba Street), Dar...
Salute!
Heshima yako mzee Mohamed Said natumai u mzima wa afya.
Mzee hongera kwa uwezo wa uandishi wako wa makala za historia ya taifa letu hili.
Mimi nimekua nikifuatilia sana mada zako hasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.