Wanamajlis,
Naona kumekuwa na hamu mpya ya kusoma historia ya nchi yetu.
Pamoja na kitabu cha Abdul Sykes kipo kitabu kingine kimeandikwa
na Ali Muhsin Barwani aliyekuwa kiongozi wa Zanzibar...
Hii ndiyo maana (wikipedia) ya mauaji ya kimbari ni maangamizi ya mpango ya kundi zima la watu au ya sehemu yake kwa msingi wa taifa, kabila, rangi au dini!
Sasa nijuavyo mimi Rwanda kuna watu wa...
Kaskazini mwa nchi yetu upo mlima maarufu sana wa Kilimanjaro.Chini ya milki ya mlima huo aliishi Mangi maarufu sana aliyeitwa Mandara ambapo jina lake la pili ni Rindi.
Mandara alianza kuwa Mangi...
“Does the white man understand our custom about land?” “How can he when he does not even speak our tongue? But he says that our customs are bad; and our own brothers who have taken up his religion...
Vita vya Uingereza na Zanzibar ndiyo vita fupi zaidi duniani. Ilidumu dak. 38 tu. Ilikuwa 27 Agosti 1896.
kwenye vita hiyo majengo yaliharibiwa pamoja na vifo vya raia wengi vilitokea. je sababu...
Mama Frolence Nightingale RIP amekuwa alama muhimu ya uuguzi duniani kutokana na yale aliyoyafanya kwenye hiyo sekta
Tunapoadhimisha siku hii muhimu duniani je Tanzania tuna wauguzi kaliba ya...
Sheikh Ibrahim,
Salim Msoma hajaelezea mambo yalivyokuwa kisawasawa.
Kundi la vijana waliopata mafunzo Misri haikuwa makusudio ya Misri wala ya viongozi wa Hizbu kumuondoa mfalme.
Makusudio...
BABA WA TAIFA ALIPOZUNGUMZA UNO KWA MARA YA KWANZA 1955 KUDAI UHURU WA TANGANYIKA
MIAKA 61 IMEPITA...
TUWAKUMBUKE WAZALENDO WALIOFANIKISHA HAYA
Miaka 61 Tangu Nyerere Kwenda UNO New York Kudai...
Vita hivi vilipiganwa mwaka 1896 kati ya Utawala wa kifalme wa visiwa vya Uengereza na Utawala wa kifame wa visiwa vya Zanzibar.
Sababu kuu ya vita hivi ni mgogoro wa madaraka uliotokea Zanzibar...
Wana JF, habari ambazo zimeondolewa zuio la usiri (chini) toka kwenye makabrasha ya FBI zinaonyesha Taasisi hii kwa muda mrefu baada ya kumalizika vita ilighubikwa na haja ya kuelewa aliko Adolf...
Huyu ndiyo Konrad Zuse (*1910 - 1995 †) ndiye aliyegundua Computer kama tuijuavyo leo hii!
Computer yake aliita Z3 ambayo ndiyo mwanzilishi wa Computer hapa Duniani, ingawaje kuna wengi...
Kubadilisha masomo ya taarikh iliyopotoshwa sana si kazi nyepesi kwani kuna wachache wenye nguvu ambao wanaing'ang'ania na kuilinda kwa nguvu zao, na za wakoloni wa leo wakiwa nyuma yao, kuwalinda...
Utangulizi
Masultani 11 waliotawala Zanzibar 1856 - 1964
Hawa masultani 11 waliotawala Zanzibar kuanzia mwaka wa 1856 hadi 1964 kesho kiama siku ya hesabu watamkabili Mola wao mikono yao ikiwa...
MAR
15
Siku Chief Adam Sapi Mkwawa alipopokea fuvu la babu yake Mtwa Mkwawa
Kalenga
''Maisha ya Chifu Adam Sapi Mkwawa yalitokea katika Baragumu Aprili 12, 1956. Alisoma Tabora na Makerere...
Wamasai, watu wanaovutia na wanaofuga wanyama, wanaishi katika pori la Bonde Kuu la Ufa nchini Kenya na Tanzania huku Afrika Mashariki. Wao bado huishi kama vile mababu wao wa kale walivyoishi...
Hebu vuta picha! Mawaziri kibao kutoka nchi mbalimbali duniani pamoja na wadau wengine, wakiwa wamevalia suti zao na tai, wapo kwenye mkutano muhimu wakijadiliana kuhusu mambo muhimu ya...
Kitabu hicho hapo juu ni Kumbukumbu za Ali Muhsin Barwani mmoja wa wapigania uhuru wa Zanzibar na kiongozi wa Zanzibar Nationalist Party (ZNP) Hizbu.
Akiwa mmoja wa mawaziri wa serikali ya...
Chukulia mfano, ni Jumapili wewe na familia yako mpo kanisani, mara mchungaji wenu mnayempenda na kumuamini anaanza kuwahubiria kwamba maisha ya hapa duniani hayafai kabisa kwa sababu dhambi...
SHIMIWI ni mashindano ya michezo ambayo hujumuisha Wafanyakazi wa Serikali Kuu,Idara na Mashirika mbalimbali ya Umma,mashindano haya hujumuisha michezo mingi kama mpira wa miguu,wa pete,mchezo wa...