Alexander Graham Bell Using the First Telephone
Mawasiliano ni jambo ambalo sasa mtu akilikosa anapoteza mambo mengi sana, Upande wa simu sasa
tumefika mbali sana kimaendeleo kwani ndio...
Hivi mshawahi kujiuiza kwa nini sisi wadigo haturuhusiwi kuwa na chief wetu?
Adam Mkwawa(13), Chifu mpya wa Wahehe, akirithi nafasi ya baba yake, Abdul Sapi Mkwawa aliyefariki 14/02/15
Jamani ndugu zangu mimi nimekuwa na maswali mengi juu ya muumba wa mbingu mpaka sasa sijapata kujua kwa kina historia ya Mungu.
Nimeamua kuuliza kwa sababu naona kama namkosea Mungu kwa kukaa...
Watu wote wenye mafanikio makubwa katika maisha wamekua ni watu wenye PLAN B mfano Donald Trump alipoulizwa atafanya nini akishindwa kupata urais akajibu atajikita katika biashara zake, Lowassa...
Jack Ma ni mwanzilishi na mwenyekiti wa mtandao mkubwa wa Alibaba. Ningependa kujua historia fupi ya ALIBABA na jinsi alivyofanikiwa kuteka soko la mtandaoni.
Karibuni kwa michango zaidi juu ya...
Huo ni muhtasari wa kile ambacho Profesa Elias Jengo wa Chuo Kikuu Dar es Salaam (Fine & Performing Arts) ambaye pia ni mchoraji mahiri, atakizungumzia wakati wa maonyesho ya kazi za sanaa...
MWAKA 1848, Mmishenari wa Kijerumani Dk Johan Ludwig Krapf, alitembelea kijiji cha Magila kilichopo Muheza mkoani Tanga akiwa katika safari zake za Afrika Mashariki.
Magila kuna mlima ulio katika...
Leo U.S.A ni siku ya Martin Luther King Jr, kwa heshima yake hapa mimi namkumbuka kwa kutafakari quote yake moja maarufu nayo ni:
“We must live together as brothers or perish together as fools.”...
Dhifa ni chakula kinachoandaliwa kutoka tangulizi, mlo mkuu na kufuatia mlo baada ya chakula. Mara nyingi mlo huu huandalaiwa kwa heshima ya mgeni au ugeni na unafuatiwa na hotuba fupi. Katika...
[5:21 PM, 1/9/2017] +255 687 500 699: Home
Monday, 9 January 2017
Waislam wa Burundi katika harakati za kupigania uhuru wa Burundi
Si kwamba Waswahili wa Burundi zama za ukoloni...
Ni kama vile fumbo la imani, kwa wale waamini wa kristu wataungana na mimi kuwa habari za Mungu na uumbwaji wa dunia zilikuja kuandikwa na Musa, na Musa aliziandika kama vile aliziishi ijapokuwa...
SHEIKH ABDALLAH RASHID SEMBE: SHUJAA WA KURA TATU NA UAMUZI WA BUSARA WA TABORA
Rai Juni 17-23 1999
KIFO cha Abdallah Rashid Sembe kilitokea Hospitali ya Bombo, Tanga tarehe 22 Mei, 1999. Siku...
MUNGU ANAPOTAKA KUKUSAIDIA, ATAKULETEA MSAADA AMBAO HAUKUUTARAJIA KABISA
hili tukio lilitokea June 2005, huko ETHIOPIA lakini nimeshangazwa kuwa very popular hivi karibuni.
"Binti wa miaka...
Habari,
Hii video imechukuliwa wakati Mwl Nyerere alipoenda Zambia na kukutana na rais wa wakati huo CHILUBA, ambaye alikuwa kamfunga Kaunda, Mwalimu Nyerere akaomba dakika 40 za mazungumzo na...
Mwanahistoria
Tunaomba utuleteee Historia ya Mzee Ali Hassan Mwinyi tafadhali na sio haya mambo ambayo yamekuwa diluted tunayopewa na magazeti
alikozaliwa career yake familia yake ilikuwaje...
Anaitwa Hadija Bint Kamba, Bint mrefu mweusi mwenye umbo lililosadifu unyamwezi, asili yake ni Tabora ndipo alipotokea Baba yake na Kigoma ndipo wazazi wa Mama yake walipotokea.
Ni kama ilivyo...