Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 20,913
- 30,255
Kwanini thread za Kassim Hanga hazipati wachangiaji wengi?
Obama...Mimi binafsi nilikuwa simjui kassim Hanga mpaka nilipopata simulizi zake miaka mitano iliyopita kutoka kwa babu mmoja znz na kusoma thread za mzee Mohamed Said
kiukweli ni shujaa aliyesahaulika