Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

On JF:

MSAADA WAKUU Mimi ni mwanafunzi nahitaji ushauri wa kozi nzuri ya afya kwa diploma kati ya hizi DENTISTRY, RADIOLOGY & NURSING
1 Reactions
13 Replies
381 Views
Shukurani ziwafikie wote mnaosoma uzi huu. Naomba niende kwenye mada, mimi ni mhitimu wa kidato cha sita 2025 katika Tahasusi ya PCM, kwa mwaka huu ninatamani ku-apply kusoma courses za Diploma...
2 Reactions
17 Replies
767 Views
Anonymous
Tunaomba kufahamu hatima ya wanafunzi waliozuiliwa kufanya Test 1 katika Chuo cha MUST, ambapo mfumo wa matokeo umeonyesha alama za ABSC. Kwa mujibu wa taarifa kutoka chuoni, wanafunzi hao...
0 Reactions
0 Replies
39 Views
Teknolojia haiwezi kuchukua nafasi ya walimu, lakini inaweza kuwa nyenzo muhimu ya kuongeza usawa wa fursa za kujifunza kwa kila mwanafunzi. Leo hii, AI imekuwa kama mwalimu binafsi anayepatikana...
0 Reactions
0 Replies
57 Views
Anonymous
Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) namba walizoweka za huduma kwa wateja hazipokelewi na watu wanashida, ni bora kama hawatoi huduma kwa njia ya simu wafute hizo namba. Nimepiga namba zote sasa...
1 Reactions
0 Replies
59 Views
MIMI NITAKUSAIDIA KWENYE MAMBO YAFUATAYO MUDA WOWOTE MIMI NI MTAALAMU NINA UZOEFU WA MIAKA MINGI NITAKUSAIDIA KATIKA MAMBO YAFUATAYO UKIWA POPOTE 🔓 𝙺𝚄𝙵𝚄𝙽𝙶𝚄𝙰 𝙰𝙲𝙲𝙾𝚄𝙽𝚃 𝚈𝙰 𝙰𝙹𝙸𝚁𝙰 𝙿𝙾𝚁𝚃𝙰𝙻 & 𝚄𝚂𝙷𝙰𝚄𝚁𝙸...
0 Reactions
0 Replies
55 Views
Mwanachama wa JamiiForums.com kupitia Jukwaa Jukwaa la Elimu (Education Forum) aliandika “Kipengele kipya cha Anuani ya Makazi (NaPA) katika Fomu ya Mkopo wa HESLB hakieleweki kwa Watendaji wengi...
1 Reactions
17 Replies
3K Views
Kwenye uombaji wa mkopo kuna kipengele kipya cha kuweka National physical address (NaPA) hiki ni kipengele kipya kwa waombaji Mwaka 2025. Tatizo kimetolewa bila maelekezo yoyote na Wadau...
3 Reactions
11 Replies
3K Views
Tunafundisha tuition masomo yafuatayo: PHYSICS, CHEMISTRY, na MATHEMATICS. Online & Home tuition Service available. Tupo Tegeta- DSM 0782044028
0 Reactions
0 Replies
60 Views
Anonymous
Habari, Naomba suala hili lifanyiwe uchunguzi. Kumekuwa na malalamiko kuhusu utaratibu wa kuanzishwa kwa michango mikubwa katika baadhi ya shule za sekondari za Wilaya ya Longido, hususan Shule...
0 Reactions
0 Replies
50 Views
UDOM imeongeza Programu 5 mpya za Shahada za Awali: ✅ Bachelor of Science in Medical Laboratory Sciences (BSc-MLS) ✅ Bachelor of Business with Education (BBE) ✅ Bachelor of Counselling...
0 Reactions
6 Replies
253 Views
Habari viongozi, ninataka kujiunga chuo cha ARUSHA TECHNICAL COLLAGE ila nataka kujua kama dirisha la maombi ya usajiri tayari au bado? na kama bado ikiwa tayari naomba mnijulishe kwa mnao jua na...
2 Reactions
43 Replies
499 Views
ATTENTION ATTENTION Attention! Tunahitaji walimu wa Home Tuition kwa ajili ya kufundisha katika maeneo mbalimbali ya Dar es Salaam. 1. Mwalimu wa Pure English in Literature Awe na uwezo wa...
0 Reactions
4 Replies
118 Views
Anonymous
Walimu tulioajiriwa mwaka 2025/2026 katika Wilaya ya Babati Vijijini tunaomba kuwasilisha kero ya kutolipwa fedha zetu za kujikimu tangu tulipoanza kazi mwezi Februari. Tumekuwa tukifuatilia...
0 Reactions
0 Replies
16 Views
Hey Guys, naomba ushauri kwa mwenye experience anaejuwa kuhusu kati ya hizi kozi mbili which one is much better to study? Job availability NGOs, private sectors and Government.
0 Reactions
4 Replies
94 Views
Msaada kama kichwa hapo juu kinavyojieleza asante
0 Reactions
0 Replies
51 Views
Kwa ufaulu wa one ya nane ya cbc hgl na mathematics c ya olevel naweza kuchaguliwa chuo Cha NIT kwa kozi ya it,hr na shipping and port logistics
1 Reactions
15 Replies
208 Views
Vifuatavyo ni vyuo vikuu bora Africa Mashariki 2026: 1. Chuo kikuu Addis Ababa ( Ethiopia) 2.Chuo kikuu Makerere(Uganda) 3.Chuo kikuu Nairobi( Kenya) 4.Chuo kikuu cha Khartoom ( Sudan) 5. Kenyatta...
6 Reactions
23 Replies
513 Views
Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kimeendelea kuipeperusha bendera ya Tanzania katika jukwaa la kimataifa, baada ya kutunukiwa cheti “AI for Good Innovate for Impact Winner” na Taasisi ya International...
2 Reactions
6 Replies
117 Views
Hey Guys, naomba ushauri kati ya hizo kozi 2 hapo ipi ipo marketable na job availability kwenye NGOs, Private sectors and Government. Mwenye uelewa au ambae amesoma kozi moja kati ya hizo
0 Reactions
0 Replies
68 Views
Back
Top Bottom