soldier MAN
Member
- May 13, 2024
- 81
- 158
Kwa ufaulu wa one ya nane ya cbc hgl na mathematics c ya olevel naweza kuchaguliwa chuo Cha NIT kwa kozi ya it,hr na shipping and port logistics
Hgl kumbe IT anaweza kusoma....?Kama BAM ulizingua bas wataangalia O level, changamoto itakua ushindani na admission capacity kwa course husika.
Kama lengo ni IT unaweza kuomba kwa vyuo vingi sio NIT tu, jaribu IFM pale wana IT tu na IT iliyo attached na uhasibu, kuna Mzumbe, Chuo cha Uhasibu Arusha kipo Njiro, kuna CBE, Mwalimu Nyerere na TIA pia angalia japo sina uhakika Kama wana IT.
It nin mkuu. Kwaiyo wanaomiliki simu walisoma science tuHgl kumbe IT anaweza kusoma....?
Mimi sijui mkuu ndio maana nauliza....It nin mkuu. Kwaiyo wanaomiliki simu walisoma science tu
Google au tumia AIMimi sijui mkuu ndio maana nauliza....
Siwezi Ngoja niliemuuliza anaweza kuja kunijibu naona kama una jazbaGoogle au tumia AI
Pale alipoandika CBC mi sikusoma vizuri nikajua CBG.Hgl kumbe IT anaweza kusoma....?
Sana tuu dogo,mbona hujiamini?Kwa ufaulu wa one ya nane ya cbc hgl na mathematics c ya olevel naweza kuchaguliwa chuo Cha NIT kwa kozi ya it,hr na shipping and port logistics
Hata hapo unapoandika ni kama IT!Mimi sijui mkuu ndio maana nauliza....
IT ya NIT haijaiva ila utachaguliwa. Kama kompyuta umezijulia stationary jiandae kutoka na GPA kubwa ila kazi za kitoto huwezi. Pale theory kwa kwenda mbele hata computer lab yao inawashtaki.Kwa ufaulu wa one ya nane ya cbc hgl na mathematics c ya olevel naweza kuchaguliwa chuo Cha NIT kwa kozi ya it,hr na shipping and port logistics